Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Angekuwa mtoto wake angegoma?Mdogo wangu, you need a break. Mambo hayaendi hivyo.
wewe ni wa kuliwa au wa kulaHellow african
Mimi naishi na shemeji yangu dada yangu yupo india ni doctor uko india sasa shule wakati zimefunguliwa dada alisema shemeji anipeleke shule na gari yake ile BMW ya 2009
Sasa siku ilipofika shemeji kagoma kunipeleka anataka nipande daldala mimi sitaki leo nimerudi kutoka shule nimeomba ruhusa naenda kutibiwa sasa nimerudi nimemwambia njoo unichukue hapa shule kagoma kaanza kunifokea nimefika hapa nyumban kanipiga nataka nimwambie dada nitakuwa nimekosea?
...makoHellow african
Mimi naishi na shemeji yangu dada yangu yupo india ni doctor uko india sasa shule wakati zimefunguliwa dada alisema shemeji anipeleke shule na gari yake ile BMW ya 2009
Sasa siku ilipofika shemeji kagoma kunipeleka anataka nipande daldala mimi sitaki leo nimerudi kutoka shule nimeomba ruhusa naenda kutibiwa sasa nimerudi nimemwambia njoo unichukue hapa shule kagoma kaanza kunifokea nimefika hapa nyumban kanipiga nataka nimwambie dada nitakuwa nimekosea?
[emoji23][emoji23][emoji119]Natamani ningekua karibu nikupige ngumi nivunje huo mfupa wa tako ushindwe kakaa na kuandika ujinga.
Muda mwingine jibu kulingana na umri wako matusi sio kila mahari yanahitajika kuwa na busara kidogowewe ni wa kuliwa au wa kula
Siku ukiacha kuwaza upumbavu utakuwa na akili kubwaSiku ukipigwa dyudyu na huyo shem uje kutuambia
Thread tayari.