Shemeji yangu amekataa! Abadani, Mwanangu hapimwi DNA ikibidi ndoa ivunjike tu

Kwani wewe huwezi kulea mtoto asiye wako?
 
Nyie waganga wachonganishi tu hamna lolote. Mtaanza kunisingizia na mimi. Mimi mwenyewe mweusi nazaa vipi mweupe?
 

Wanahume atuja andaliwa kubeba fedheha siku zote akilini mwetu kuna kitu kimekaa na kinatuambia ni lazima tushinde kila kitu

Angalia mwanaume anapo mtongoz mwanamke akimkataa unaona nguvu anayo tumia ni kubwa ili akubaliwe hatuna uwezo wa kukubali ukweli

Kitu kinapelekea watu kujinyonga mwanaume akichapiwa anaumia sana kuliko mwanamke akiibiwa mwanaume na shoga yake
 
Hapo kapigwa changalamoto machoni.
One man down,mpe pole sana brother.

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Na inaleta dharau miaka yoote utakayoishi na mke aliyezaa nje ndani ya nyumba yako anakuona boya tu.
Isaya 58:7
[7]Je! Siyo kuwagawia wenye njaa chakula chako, na kuwaleta maskini waliotupwa nje nyumbani kwako? Umwonapo mtu aliye uchi, umvike nguo; wala usijifiche na mtu mwenye damu moja nawe?
Is it not to deal thy bread to the hungry, and that thou bring the poor that are cast out to thy house? when thou seest the naked, that thou cover him; and that thou hide not thyself from thine own flesh?

Biblia Iko wazi, hupaswi kuiacha damu yako, ni dhambi kubwa kulea mtoto asiye wako anayetokana na uzinzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…