- Thread starter
- #121
HeeeeDNA ya nini na nyie!! Hebu acheni viherehere.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HeeeeDNA ya nini na nyie!! Hebu acheni viherehere.
Kwani hao wana shida gani?Kama mke mpare au mhaya ni rahisi hii kutokea
Na itakuwaje pindi umepima alafu ukamkuta huyo mtoto ni wako, je unadhani huyo mwanamke atawahi kukuelewa tena wakati umemwonesha dhahiri kuwa humwminiHapana , Unapoona suala halipo sawa ni vema Uchukue hatua Mara Moja.
Kwann hakutilia shaka Kwa mtoto wa kwanza?.
Hate Kama hamanishiSasa Kaka afanye nini
Kwani wewe huwezi kulea mtoto asiye wako?Mkuu uhangaike na mtoto si wako? Biblia inakataa kubebe geneology isiyoyako.
Ndio maana wazee wanajiua mwishoni baada ya kujua mtoto aliye mhangaikia hakuwa wake na Mama alificha.
Ukumbuke Kiroho iko hivi. Mtoto kama si wako ukamlea kwa kudanganywa ni wako. Hata kama unampenda kivipi siku atakayogundua Baba yake wa Damu sio wewe na ni mwingine atakushangaza na wala usilaum ni Nature.
Umesoma lin mkuu, ktabu gan?
Nyie waganga wachonganishi tu hamna lolote. Mtaanza kunisingizia na mimi. Mimi mwenyewe mweusi nazaa vipi mweupe?Asee mbna kaz ipo.
Aje huku ndungu Kuna Mtaalam wa DNA za kienyeji, hapo haihitajiki hata mtoto kuwepo.
Na usikute mtoto wa mtoa mada rafiki. Ko kaka yako ajiandae na Majibu yotee🤣😲
Na huku Kwa Fundi wetu utaambiwa Hadi baba halisi wa mtoto.
Hatujui
Mkuu umeshiba
😂😂😂Wanasema mtoto wa pili huwa ni wa DEAR EX
Ndio kama hivi kutaka kujua kila kitu n.kUnajua kwanini wanajiua sana?
Hvo vtabu vimeeleza mfanano wa mtoto kwa baba, huanzia umri gan?
Kwa kujitolea huku ukijua si wangu wa damu ila natenda wema tu. Ila sio kwa kudanganywaKwani wewe huwezi kulea mtoto asiye wako?
Hapo kapigwa changalamoto machoni.Wakuu tumefika mwisho. Tumekuwa watabe kushauri kwenye mahusiano ya wengine huku mtandaoni lakini huku field Mke wa Brother(rafiki yangu wa longtime) ametushinda.
Ni hivi Mwaka Jana Mke wa Huyu Best Yangu alijifungua mtoto wa kiume. Tulifurahi kupata mtoto wapili na sisi kama ndugu na jamaa wa karibu sana ukizingatia yeye jamaa alinisaidi sana kusoma enzi hizo kipesa na kimawazo basi tulimfanyia Tafrija ndogo ya kupata mtoto.
Siku chache baadae furaha ya jamaa iliingia shubiri kila alipokuwa akifatilia ukuaji wa mtoto.
Yaani mtoto amekuwa na sura na mwonekano tofauti na Baba na Mama yake.
Yaani Mshikaji ni Mweusi na Mke wake maji ya kunde lakini Mtoto ni Mweupe.
Kwa sayansi ndogo tuliyo nayo kama baba mweusi na Mama maji ya kunde sio rahisi kupata mtoto mweupe. Pengine angepata rangi ya kunde kama Mama yake au Mweusi kabisa kama Baba yake.
lakini Baba ni msomi hawezi kufanya maamuzu based on just feelings. Ameamua kushauriana na mkewe kuwa wakampime DNSA maana jamaa roho inakataa kumpenda mwanaye kati kati ya mashaka.
Mke amekataa kata kata kuwa Mwanaye hapimwi DNA ikibidi hata ndoa ivunjike.
Ana dai kama hamwamini mke wake basi bora waaachane.
Mimi na Braza tume baki mdomo wazi juu ya msimamo wa Mwanamama huyu.
Tulitegemea angekubali ili kumwondolea hofu mumewe na upendo uzidi kutamalaki. Hali imekuwa tofauti.
Isaya 58:7Na inaleta dharau miaka yoote utakayoishi na mke aliyezaa nje ndani ya nyumba yako anakuona boya tu.
Mkuu km umeptia kwel hvo vtabu bas upo deep sana[emoji23]ila hii ishu inaweza ikakutoa KO
DaaahHapo kapigwa changalamoto machoni.
One man down,mpe pole sana brother.
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Waambie sophy