Shepu inayostaili kula hela za mwanaume (kupiga mizinga)

Shepu inayostaili kula hela za mwanaume (kupiga mizinga)

Mwanaume akiwa na pisi kali huwa anajiamini sana, utamuona mda wote anataka atembee pamoja na mwenzake; ila ikiwa mbovu sasa, anamwambia tangulia tutakutana kanisani 😀
Vyovyote atakavyo kua ndio inakua ni chaguo lake kwa sababu mara zote uzuri uko machoni kwa anaetazama ukielewa hiyo Sheria hutosema kwa nini huyu jamaa pisi yake mbovu
 
Vyovyote atakavyo kua ndio inakua ni chaguo lake kwa sababu mara zote uzuri uko machoni kwa anaetazama ukielewa hiyo Sheria hutosema kwa nini huyu jamaa pisi yake mbovu
Na wengi tunaoa pisi mbovu ili kuwepo na utulivu kwenye familia
 
Kuhonga mwanamke asiyekuwa na shepu hii, ni matumizi mabaya ya fedha.

Wengi wanajisifia kuhonga vipato vyao kwa wapenzi wao mbalimbali; wengine wanasema pesa ya mwanaume lazima itumiwe na mwanamke.

Na kwa sasa tunapokaribia siku ya wapendanao, wapo wanaume wameshaanza kupigwa mizinga ya hapa na pale.

Swali la kujiuliza, anayekupiga mzinga ana shepu ya namna gani?

Hii ndio shepu ya kupiga mizinga, kama hana muonekano huu vaa viatu ukimbie haraka.
View attachment 2900753
Mbona ni yule mke wa Bashite mama nani vile!
 
Tukimbaumbau twa hivi hatunaga mpinzani! 🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️

IMG_20220304_203107_549.jpg
 
Mimi sichagui shape, my greatest disappointment ni mwanamke awe ana nuka kupitiliza 🤣 🤣.

Na wenye hii mishepu wanakuwaga na Hilo tatizo
Hili tatizo limekuwa ni sugu nadhani,maana kukuta ambaye hanuki imeanza kuwa ni bahati...unamuogesha vizuri usiku akija geto, asubuhi hari mbaya, kitumbua hakiliki, ....

Ukiwaambia wapunguze kuvaa sisuruali vyao hivyo, masuper-woman wanakujiaa juu na mawigi yao kichwani yenye kilo tano...
 
Kuhonga mwanamke asiyekuwa na shepu hii, ni matumizi mabaya ya fedha.

Wengi wanajisifia kuhonga vipato vyao kwa wapenzi wao mbalimbali; wengine wanasema pesa ya mwanaume lazima itumiwe na mwanamke.

Na kwa sasa tunapokaribia siku ya wapendanao, wapo wanaume wameshaanza kupigwa mizinga ya hapa na pale.

Swali la kujiuliza, anayekupiga mzinga ana shepu ya namna gani?

Hii ndio shepu ya kupiga mizinga, kama hana muonekano huu vaa viatu ukimbie haraka.
View attachment 2900753
Hii ni pundamilia or mtu
 
Back
Top Bottom