Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Nimtangaze sponsor tena wadada wamchangamkie😂😂Kumbe umenunuliwa gari na hausemi😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimtangaze sponsor tena wadada wamchangamkie😂😂Kumbe umenunuliwa gari na hausemi😀😀
Vyovyote atakavyo kua ndio inakua ni chaguo lake kwa sababu mara zote uzuri uko machoni kwa anaetazama ukielewa hiyo Sheria hutosema kwa nini huyu jamaa pisi yake mbovuMwanaume akiwa na pisi kali huwa anajiamini sana, utamuona mda wote anataka atembee pamoja na mwenzake; ila ikiwa mbovu sasa, anamwambia tangulia tutakutana kanisani 😀
Ukiipata utuwekeeNimekosa ile picha ya mashirima
Na wengi tunaoa pisi mbovu ili kuwepo na utulivu kwenye familiaVyovyote atakavyo kua ndio inakua ni chaguo lake kwa sababu mara zote uzuri uko machoni kwa anaetazama ukielewa hiyo Sheria hutosema kwa nini huyu jamaa pisi yake mbovu
Mbona ni yule mke wa Bashite mama nani vile!Kuhonga mwanamke asiyekuwa na shepu hii, ni matumizi mabaya ya fedha.View attachment 2900753
Wengi wanajisifia kuhonga vipato vyao kwa wapenzi wao mbalimbali; wengine wanasema pesa ya mwanaume lazima itumiwe na mwanamke.
Na kwa sasa tunapokaribia siku ya wapendanao, wapo wanaume wameshaanza kupigwa mizinga ya hapa na pale.
Swali la kujiuliza, anayekupiga mzinga ana shepu ya namna gani?
Hii ndio shepu ya kupiga mizinga, kama hana muonekano huu vaa viatu ukimbie haraka.
HakunaKwamba wapo???
Hahahaha hao hao Rubii!! 😁HAwa wacheza dubwi??
Santo sanaHakika hayanaga muongozo...
Hili tatizo limekuwa ni sugu nadhani,maana kukuta ambaye hanuki imeanza kuwa ni bahati...unamuogesha vizuri usiku akija geto, asubuhi hari mbaya, kitumbua hakiliki, ....Mimi sichagui shape, my greatest disappointment ni mwanamke awe ana nuka kupitiliza 🤣 🤣.
Na wenye hii mishepu wanakuwaga na Hilo tatizo
Wapi wewe!!!!! Wengi humu choka mbaya tu.Hivi humu JF ni kweli watu wananunulia mademu magari?! 🫣
Kwa vile umeshapata gari kuna shida gani??😅😅Nimtangaze sponsor tena wadada wamchangamkie😂😂
Hii ni pundamilia or mtuKuhonga mwanamke asiyekuwa na shepu hii, ni matumizi mabaya ya fedha.View attachment 2900753
Wengi wanajisifia kuhonga vipato vyao kwa wapenzi wao mbalimbali; wengine wanasema pesa ya mwanaume lazima itumiwe na mwanamke.
Na kwa sasa tunapokaribia siku ya wapendanao, wapo wanaume wameshaanza kupigwa mizinga ya hapa na pale.
Swali la kujiuliza, anayekupiga mzinga ana shepu ya namna gani?
Hii ndio shepu ya kupiga mizinga, kama hana muonekano huu vaa viatu ukimbie haraka.
Unataka nyumba iishie njiani😃😃Kwa vile umeshapata gari kuna shida gani??😅😅
😅😅😅😅 Kumbe bdo kazi haijaisha mpka iisheUnataka nyumba iishie njiani😃😃