Sherehe ya Mwaka Mpya ni ya Kikristo, Waislamu tumeivamia tu bila kujua

Kalenda ya Gregory inahusiana nini na ukiristo!?..ni Kama wewe uanzishe kalenda ukipimia mwaka wa elnino au mwaka wa Vita vya kagera
 
UMESEMA:
Kusherehekea ni dhambi sababu hakuna waio tutangulia wailifanya jambo hili si mitume wala si manabii.

SWALI:
Hao Waliowatangulia mitume na manabii ,Walitumia Kalenda ya Kanisa kama ninyi mnavyotumia kalenda ya kanisa?
 
Namshukuru Allah kwa mafanikio aliyonipa mwaka uliopita na sio namshuru Allah kwa kubadilika mwaka.-- soma vizuri pont yangu. Hata pia huwa namshukuru kwa mafanikio mwaka mpya wa kiisilamu unapoingia.
Unamshukuru Alah kwa Mwaka uliopita upi?

Huu wa Kanisa ulioanzishwa na Wakristo chini ya Papa Gregory au upi?
 
Lipo nje ya uwezo wenu kivipi?

Alah ameshindwa kuwasaidia kujinasua kutoka kwenye huo mtego wa kalenda ya kanisa?
 
Kalenda ni Kama elimu,Haina dini,haijalishi nani kagundua,hata Gregory hakusukumwa na ukiristo kutengeneza hiyo kalenda, Qur'an 17:12,10:6,29:14,2:260 inatambua kwamba tunatumia jua na mwezi kupima nyakati
Acha uongo.
Gregory ambaye alikuwa papa wa kanisa katoliki alisukumwa na Ukristo ndio maana alianza kuhesabia mwaka kuanzia kuzaliwa kwa Yesu Kristo.

Huu ni mwaka 2023 AC (After Christ)
 
Daladala ni dharura?
Nyie jamaa ni comedy sana.

Migahawani huwa mnakaa jinsia tofauti?
Sokoni mnakaa jinsia tofauti?
Vyuoni/shuleni huwa mnakaa jinsia tofauti?
Kwenye ndege huwa mnakaa jinsia tofauti?
Wanaoenda Zanzibar huwa wanakaa jinsia tofauti?
Uwanja wa taifa huwa mnakaa jinsia tofauti?



Hebu punguza ujuaji kidogo.
 
Kalenda nayo ni kitu cha kupiga vita????

Watoto wako shule zikifunguliwa utawaambia waandike 2023 au efu moja mia nne na kitu???
 
Mwaka mpya ni sherehe ya KIPUMBAVU kama zilivyo nyingine za kipumbavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…