ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,326
- 8,505
Nimecheka kwa sauti mie...Heri ya mwaka mpya babuHili nalo mkalitazame
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka kwa sauti mie...Heri ya mwaka mpya babuHili nalo mkalitazame
Kalenda ya Gregory inahusiana nini na ukiristo!?..ni Kama wewe uanzishe kalenda ukipimia mwaka wa elnino au mwaka wa Vita vya kageraUkigoma kuyaoga,utakunywa tu. Ukigoma kuyanywa utafulia tu. Ukigoma kuyafulia utakula samaki wake tu. Ukigoma kula samaki utayavuka tu kutoka mahala moja kwenda kwingine lazima uvuke iwe daraja au kwa ndege. Ukigoma wewe mama ndugu,rafiki atakupikia chakula ule tu
Kakwambia nani uislam ulikuja miaka 600 baada ya ukiristo?Uislam ulikuja miaka 600 baada ya ukiristo.
Uislam ana mengi ya kujifunza kutoka kwa kaka yake
UMESEMA:Soma maelezo niliyo kupa yako wazi sana. Kwenu nyinyi kusherehekea mwaka mpya ni ibada au siyo ibada ? Kama ni ibada wapi ibada hii mmeipata ? Je Yesu alisherehekea kupinduka kwa mwaka ?
Kusherehekea ni dhambi sababu hakuna waio tutangulia wailifanya jambo hili si mitume wala si manabii. Mola wetu ameweka usiku na mchana ili watu wapate kuhesabu na kujua hesabu na idadi ya miaka na si kusherehekea.
Kwahiyo suala la sisi Waislamu kutumia mwaka usio wa Kiislamu upo nje ya uwezo wetu sababu tumekuta tayari jambo hilo lipo ila kwa nchi ambazo zinajitawala zenyewe yaani za Kiislamu unazingatiwa mwaka wa kiislamu. Kwahiyo hili linaingia katika mlango huo wala haliathiri dini maadamu tunajua mwaka wetu wa Kiislamu ukoje, siku inadalika saa ngapi haidhuru.
Huwa hamfundishiki isipokuwa ugaidi na ubaguzi tuUmenifunza lipi mpka sasa ukanitoa ujinga?
nipe sababuSIYO KWELI.
Unamshukuru Alah kwa Mwaka uliopita upi?Namshukuru Allah kwa mafanikio aliyonipa mwaka uliopita na sio namshuru Allah kwa kubadilika mwaka.-- soma vizuri pont yangu. Hata pia huwa namshukuru kwa mafanikio mwaka mpya wa kiisilamu unapoingia.
Lipo nje ya uwezo wenu kivipi?Tunalitumia sababu lipo nje ya uwezo wetu kutokana na mfumo wa nchi jinsi ilivyo. Unaelekea ninacho kiongelea ?
Ndiyo maana katika kuliacha tunafanya yale ambayo yapo ndani ya uwezo na Hilo linaingia katika mlango wa dharura, na dharura hukadiriwa kwa makadirio yake.
Acha uongo.Kalenda ni Kama elimu,Haina dini,haijalishi nani kagundua,hata Gregory hakusukumwa na ukiristo kutengeneza hiyo kalenda, Qur'an 17:12,10:6,29:14,2:260 inatambua kwamba tunatumia jua na mwezi kupima nyakati
Daladala ni dharura?Uislamu umekamilika sana, unauliza maswali mepesi sana. Huko kwenye madaladala ni katika mlango wa dharura na mlango katika dini upo.
Lakini suala la kiibada si jambo la dharura, Yesu alifanya vipi ibada au mafundisho ya kufanya ibada zenu mmeyapata wapi ?
Lakini nashangaa wewe huoni ubaya wa kuchanganyika jinsia mbili tofauti akili zako ndogo sana kijana au hufikirii. Jamii imeharibika na kuwa hivi katika sababu kubwa ni kuruhusu michanganyiko hiyo.
Kalenda nayo ni kitu cha kupiga vita????Hii kalenda tunayotumia,Gregorian Calendar ilikuja baada ya Julian Calendar, zote zina uhusiano na Issa ndio maana utakuta maneno kama AD au BC yote yanamrefer Nabii Issa.
Sasa sisi Waislam imekuwaje hatulijui hili au kufuata mkumbo? au ndio dunia inaongozwa na mfumo Kristo?
OK,mwaka mpya mnataka muanze lini?Yesu alivaa nini ? Alivaa raba ?
Tunautambua kwa kujua idadi ya miaka kwa ufupi muda. Hatusherehekei sababu ni matumizi mabaya ya akili, muda na rasilimali.
piga picha home page yako tuone ina tarehe ngapMwezi Rajab 1444
sawa hamna shida kila la kheri,hata wachina wana mwaka wao huko february kwa hiyo haina madhara sherekeheni huo mwezi shaabanMwezi shaaban
Mwaka mpya ni sherehe ya KIPUMBAVU kama zilivyo nyingine za kipumbavuHii kalenda tunayotumia,Gregorian Calendar ilikuja baada ya Julian Calendar, zote zina uhusiano na Issa ndio maana utakuta maneno kama AD au BC yote yanamrefer Nabii Issa.
Sasa sisi Waislam imekuwaje hatulijui hili au kufuata mkumbo? au ndio dunia inaongozwa na mfumo Kristo?
Leo ni tarehe ngapi ya mwaka gani?Mwaka mpya ni sherehe ya KIPUMBAVU kama zilivyo nyingine za kipumbavu