Habarini Wana Jamvi . Nasikiliza Hotuba Ya Mh Magufuli Amesamehe Wafungwa Zaidi Ya Elf Nane Swali Langu Ni Kwamba Lulu Anaweza Akapitia Mwanya Huu Kutoka Au Ataendelea Kubaki Lupango Na Je Akina Babu Seya Je. Nawasilisha
Habarini Wana Jamvi . Nasikiliza Hotuba Ya Mh Magufuli Amesamehe Wafungwa Zaidi Ya Elf Nane Swali Langu Ni Kwamba Lulu Anaweza Akapitia Mwanya Huu Kutoka Au Ataendelea Kubaki Lupango Na Je Akina Babu Seya Je. Nawasilisha
Magufuli kawasamehe familia ya Nguza Vicking kuanza Leo.
Msaada huo ameutangaza Leo akihutubia Taifa kwenye maadhimisho ya miaka 56 ya Uhuru wa Tanganyika.
Hamna marefu yasiyo Na ncha