Sherehe za ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Rais Magufuli na Marais Wastaafu washiriki kuweka jiwe la msingi

Sherehe za ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Rais Magufuli na Marais Wastaafu washiriki kuweka jiwe la msingi

Awamu ya UJENZI hii, mambo mengine sijui ajira/nyongeza za mishahara na mambo kama hayo sio kipaumbele kwa sasa.

Haya mshangilieni Mkuu kwa makofi na nderemo.
 
Kuna mikakati ndani ya CCM ya kupindua meza...hii ni moja ya mikakati kuweka maombi sawa!!
 
Ndugu zangu great thinkers karibuni tujadili pamoja jambo hili,maana nimekuwa nikijiuliza sana jambo siku nyingi huyu ndege analiwa ikulu tu na kufugwa huko huko na kwa nini hawezi kufugwa kama tunavyofuga mifugo mingine kama kuku,bata,kanga,kware kwa nn huyu yuko hapo karibuni wajuvi wa mambo mtueleweshe mm na wengine tusiojua vzr mambo haya.
Hii ni nyara ya serikali sio kama kuku
 
Ngoja wakiwa wengi tutapewa tu
Ndugu zangu great thinkers karibuni tujadili pamoja jambo hili,maana nimekuwa nikijiuliza sana jambo siku nyingi huyu ndege analiwa ikulu tu na kufugwa huko huko na kwa nini hawezi kufugwa kama tunavyofuga mifugo mingine kama kuku,bata,kanga,kware kwa nn huyu yuko hapo karibuni wajuvi wa mambo mtueleweshe mm na wengine tusiojua vzr mambo haya.
 
yaan nchi haina utaratibu kabisa, tushike lp sasa, mara bwawa la umeme, mara tren ya umeme, mara viwanda, mara chamwino, alafu chek hilo liasikofu linavyoomba kwakujipendekeza, zee zima ovyo...1 MUNGU hapokei maombi yahivyo!
Miradi yote inakwenda kwa wakati mmoja shida ipo wapi?
 
Sijui kama kichwa chako huwa kipo sawa
Kuna mikakati ndani ya CCM ya kupindua meza...hii ni moja ya mikakati kuweka maombi sawa!!
 
Elewa hii ni nchi tunayotamani kuwa Taifa kubwa, Huwezi kuwa na Ikulu kama ya vinchi vingine ambako hata Boda Boda wanaweza kwenda kupiga mawe Ikulu
Hata jengo letu la bunge ni kubwa na la kifahari kuliko Mabunge yote hapa E/Africa na kwa ufahari imelizidi bunge la UK(wafadhili wetu) na imetufanya tuwe taifa kubwa sana sasa hivi.
 
naombeni mnieleweshe kidogo hao tausi walikuwa wanafugwa Dodoma au Dar es Salaam?Sasa kama ni Dar kwa nini watolewe Dar wapelekwe Dodoma then warudishwe Dar sio kuwachosha tu.
Wanautalii wa ndani?
 
Back
Top Bottom