Pole hii stage inaoneka na umeiruka mpira unapatikana katika mazingira tofaut yasiyo fanana.mnaweza kufuma wote au mtu akaja nao inategemeaSasa mbona namba 7 na 13 zinapingana?!
7 asiyeshiriki kutengeneza Mpira hatocheza!
13:mwenye Mpira huwa hatolewi ata akicheza vibaya!
SWALI vipi kuwe na mwenye Mpira na wewe umeshasema Mpira umetengenezwa na wote?! Tena asiyeshiriki kutengeneza hachezi,sasa mwenye Mpira ni nani tena hapo?!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nyie mwanikumbusha mbali aiseeKama kwenu anaingia mkubwa na sie wanaingia wawili
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nyie watu mtaniua mbavuKucheza na viatu ni hadi uruhusiwe na wengine. Amasivyo, utalazimika kuvivua
Kona ya tatu mfululizo inazaa penatiTujikumbushe sheria za mpira za zamani, enzi zetu, nitaanza na ya golikipa, ilikuwa ni marufuku kuingia eneo la golikipa yaani ndani ya 12 na ukiingia basi golikipa anaruhusiwa kukufanya chochote ikiwamo kukukanyaga popote pale, nakumbuka mimi niliwahi kukanyagwa kichwani.
Hizi sheria hadi mjini ilikuwa au sisi wa vijijini tu?Kona ya tatu mfululizo inazaa penati
ni mkanyiko tu umefanyikaHuu uzi unahusika vipi na jukwaa la mahusiano?
Ahahah dah aiseeee kumbe wote sheria zetu zilikuwa moja aiseeeepenalty hadi mtu aumie na atoke damu.
ni kawaida match kuisha goal zikiwa 20-27 etc
kipa anadaka mpira popote hata kati kati ya uwanjaAhahah dah aiseeee kumbe wote sheria zetu zilikuwa moja aiseeee