koncho77
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 7,789
- 10,388
Ahahahkipa anadaka mpira popote hata kati kati ya uwanja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahahkipa anadaka mpira popote hata kati kati ya uwanja
Kuna wale waliocheza 'ONE TACHI' hapa?
Kuna wale waliocheza 'ONE TACHI' hapa?
Ebna we ni nouma.Hiyo 19 ni babkubwa!Umenikumbuxha mbaal xna yan18.Jezi ni kwamba upande mmoja wamevaa mwingine wamevua(mashati)
19. uwanja ni popote na kwa vipimo vyovyote (tushawahi kucheza mechi golikpa na golikipa hawonani-uwanja umekata kona
Daa,utaniua mkuu.Tunaandaa ni fimbo kabisa,tunazificha.Kikinuka tu,tunazama porini.Mkienda kucheza mechi mtaa mwingine ndala au malapa lazima uivae mikononi cz kikiwaka nduki unasepa zako hakunaga time ya kutafuta ndala uliweka wapi
ulikuwa wa kishua una gozi lile la Tango au mpira wa makaratasi?[chandim]?Hiyo sheria no2 "ilikuwa inanibeba sana
Sisi senior citizens tulitumia manailon ya kufumaulikuwa wa kishua una gozi lile la Tango au mpira wa makaratasi?[chandim]?
Yes , wewe ni wa kipindi Mkapa anauza nyumba za serikali kwa bei chee, masaki na Oysterbay, nyumba nyingi waliuziana milioni 4, bei ya pikipiki.Sisi senior citizens tulitumia manailon ya kufuma