Sheria imzuie professa Juma kujenga ufisadi wa kitaasisi anaotaka kuujenga katika Mahakama

Sheria imzuie professa Juma kujenga ufisadi wa kitaasisi anaotaka kuujenga katika Mahakama

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Nimeshtushwa na kauli aliyotoa Prof Juma kwamba amepiga marufuku taasisi na viongozi wa nchi kuwapa ajira mahakimu na watumishi wa mahakama nje ya mahakama. Hii ni kauli ya hovyo kabisa aliitoa wakati akiapisha mahakimu 22 jana.

Huyu Profesa ni zao la jalalani, asili yake sio Mahakama, alisogezwa hapo Mahakama na JK tena baada ya kumbeba kijana wake pale UDSM, leo kajiona yeye ndio Mahakama kuliko hata Mahakama. Kwamba anazuia wanasheria walio mahakamani wasiamue kwenda kuajiriwa au kuhamisha ajira kwenda idara nyingine ndani ya jamhuri?

Wasingemtoa huko UDSM hiyo Mahakama angeijua? Kwa nini hataki wenzake wasitoke Mahakama?

Huu ujinga ndio unaongoza mahakama ya Tanzania? Kwamba mtu hawezi kutoka mahakama akaenda kuwa mtumishi wa idara ya executive kwa kuhamisha ajira? Kwa hiyo muajiri mkuu Rais na yeye anaguswa na agizo la Juma?

Sasa akiendelea tutamuanika kwenye teuzi za majaji jinsi alivyokuwa influenced kimahusiano na kinasaba
 
Nimeshtushwa na kauli aliyotoa Prof Juma kwamba amepiga marufuku taasisi na viongozi wa nchi kuwapa ajira mahakimu na watumishi wa mahakama nje ya mahakama. Hii ni kauli ya hovyo kabisa aliitoa wakati akiapisha mahakimu 22 jana.

Huyu Profesa ni zao la jalalani, asili yake sio Mahakama, alisogezwa hapo Mahakama na JK tena baada ya kumbeba kijana wake pale UDSM, leo kajiona yeye ndio Mahakama kuliko hata Mahakama. Kwamba anazuia wanasheria walio mahakamani wasiamue kwenda kuajiriwa au kuhamisha ajira kwenda idara nyingine ndani ya jamhuri?

Wasingemtoa huko UDSM hiyo Mahakama angeijua? Kaa nini hataki wenzake wasitoke Mahakama?

Huu ujinga ndio unaongoza mahakama ya Tanzania? Kwamba mtu hawezi kutoka mahakama akaenda kuwa mtumishi wa idara ya executive kwa kuhamisha ajira? Kqa hiyo muajiri mkuu Rais na yeye anaguswa na agizo la Juma?

Sasa akiendelea tutamuanika kwenye teuzi za majaji jinsi alivyokuwa influenced kimahusiano na kinasaba
Nilijua ni mwenzenu. Mbona mnamgeuka?
 
Nimeshtushwa na kauli aliyotoa Prof Juma kwamba amepiga marufuku taasisi na viongozi wa nchi kuwapa ajira mahakimu na watumishi wa mahakama nje ya mahakama. Hii ni kauli ya hovyo kabisa aliitoa wakati akiapisha mahakimu 22 jana.

Huyu Profesa ni zao la jalalani, asili yake sio Mahakama, alisogezwa hapo Mahakama na JK tena baada ya kumbeba kijana wake pale UDSM, leo kajiona yeye ndio Mahakama kuliko hata Mahakama. Kwamba anazuia wanasheria walio mahakamani wasiamue kwenda kuajiriwa au kuhamisha ajira kwenda idara nyingine ndani ya jamhuri?

Wasingemtoa huko UDSM hiyo Mahakama angeijua? Kaa nini hataki wenzake wasitoke Mahakama?

Huu ujinga ndio unaongoza mahakama ya Tanzania? Kwamba mtu hawezi kutoka mahakama akaenda kuwa mtumishi wa idara ya executive kwa kuhamisha ajira? Kqa hiyo muajiri mkuu Rais na yeye anaguswa na agizo la Juma?

Sasa akiendelea tutamuanika kwenye teuzi za majaji jinsi alivyokuwa influenced kimahusiano na kinasaba

Kangaroo Courts in Tanzania.

Japokuwa simkubali huyu Jaji Mkuu kutokana na kitendo chake cha kuivuruga Mahakama kwa kuinasibisha moja kwa moja na mhimili wa Serikali (Executive), lakini nakubaliana na msimamo wake huu wa kuzuia Mahakimu na Watumishi wengine wa Mahakama wenye majukumu ya moja kwa moja kwenye utoaji haki kuhamishiwa kwenye taasisi zingine za Serikali nje ya Mhimili wa Mahakama. Hii itasaidia kuondoa tatizo la Mahakimu na Majaji au Wasajili wa Mahakana kuacha tabia ya kujikomba kwa Watawala Wanasiasa ili kuvizia teuzi za kisiasa.

Mathalani, kwenye hao Mahakimu 22 aliowaapisha, yupo mmojawapo ambaye uteuzi wake wa kuwa hakimu umetokana na RUSHWA, hana sifa bora za kiutendaji zaidi ya rushwa. Alikuwa Karani wa Jaji Mmoja hivi, kwa kufanya uhalifu wa kuhujumu majalada ya Kesi Mahakamani alimsaidia sana kushinda Kesi yake Mwanasiasa mmoja hivi (yupo kwenye idara ya wale jamaa wavaa kaunda Suti), majina ya hakimu huyo ni Y.A., taarifa yote ya utafiti kuhusu suala hili tayari ipo mikononi, wakati muafaka ukifika kila kitu kitawekwa hadharani.
 
Nimeshtushwa na kauli aliyotoa Prof Juma kwamba amepiga marufuku taasisi na viongozi wa nchi kuwapa ajira mahakimu na watumishi wa mahakama nje ya mahakama. Hii ni kauli ya hovyo kabisa aliitoa wakati akiapisha mahakimu 22 jana.

Huyu Profesa ni zao la jalalani, asili yake sio Mahakama, alisogezwa hapo Mahakama na JK tena baada ya kumbeba kijana wake pale UDSM, leo kajiona yeye ndio Mahakama kuliko hata Mahakama. Kwamba anazuia wanasheria walio mahakamani wasiamue kwenda kuajiriwa au kuhamisha ajira kwenda idara nyingine ndani ya jamhuri?

Wasingemtoa huko UDSM hiyo Mahakama angeijua? Kaa nini hataki wenzake wasitoke Mahakama?

Huu ujinga ndio unaongoza mahakama ya Tanzania? Kwamba mtu hawezi kutoka mahakama akaenda kuwa mtumishi wa idara ya executive kwa kuhamisha ajira? Kqa hiyo muajiri mkuu Rais na yeye anaguswa na agizo la Juma?

Sasa akiendelea tutamuanika kwenye teuzi za majaji jinsi alivyokuwa influenced kimahusiano na kinasaba
Acha uongo wewe Mburura. Amepiga marufuku Mahakimu tu sio watumishi wote.
 

Attachments

  • IMG-20240920-WA0006.jpg
    IMG-20240920-WA0006.jpg
    57.9 KB · Views: 3
Nimeshtushwa na kauli aliyotoa Prof Juma kwamba amepiga marufuku taasisi na viongozi wa nchi kuwapa ajira mahakimu na watumishi wa mahakama nje ya mahakama. Hii ni kauli ya hovyo kabisa aliitoa wakati akiapisha mahakimu 22 jana.

Huyu Profesa ni zao la jalalani, asili yake sio Mahakama, alisogezwa hapo Mahakama na JK tena baada ya kumbeba kijana wake pale UDSM, leo kajiona yeye ndio Mahakama kuliko hata Mahakama. Kwamba anazuia wanasheria walio mahakamani wasiamue kwenda kuajiriwa au kuhamisha ajira kwenda idara nyingine ndani ya jamhuri?

Wasingemtoa huko UDSM hiyo Mahakama angeijua? Kwa nini hataki wenzake wasitoke Mahakama?

Huu ujinga ndio unaongoza mahakama ya Tanzania? Kwamba mtu hawezi kutoka mahakama akaenda kuwa mtumishi wa idara ya executive kwa kuhamisha ajira? Kwa hiyo muajiri mkuu Rais na yeye anaguswa na agizo la Juma?

Sasa akiendelea tutamuanika kwenye teuzi za majaji jinsi alivyokuwa influenced kimahusiano na kinasaba
Tanzania hapajawahi kutokea CJ mwenye mafanikio na aliye bora kama Juma. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
 
Nimeshtushwa na kauli aliyotoa Prof Juma kwamba amepiga marufuku taasisi na viongozi wa nchi kuwapa ajira mahakimu na watumishi wa mahakama nje ya mahakama. Hii ni kauli ya hovyo kabisa aliitoa wakati akiapisha mahakimu 22 jana.

Huyu Profesa ni zao la jalalani, asili yake sio Mahakama, alisogezwa hapo Mahakama na JK tena baada ya kumbeba kijana wake pale UDSM, leo kajiona yeye ndio Mahakama kuliko hata Mahakama. Kwamba anazuia wanasheria walio mahakamani wasiamue kwenda kuajiriwa au kuhamisha ajira kwenda idara nyingine ndani ya jamhuri?

Wasingemtoa huko UDSM hiyo Mahakama angeijua? Kwa nini hataki wenzake wasitoke Mahakama?

Huu ujinga ndio unaongoza mahakama ya Tanzania? Kwamba mtu hawezi kutoka mahakama akaenda kuwa mtumishi wa idara ya executive kwa kuhamisha ajira? Kwa hiyo muajiri mkuu Rais na yeye anaguswa na agizo la Juma?

Sasa akiendelea tutamuanika kwenye teuzi za majaji jinsi alivyokuwa influenced kimahusiano na kinasaba
Kuna muda unakuwaga na akili sana. Ila kuna muda sijui unapelekaga wapi akili zako?
 
Nipe hukumu aliyoandika ikatikisa jurisprudence ya jambo lolote, nipe ya Juma na Jaji Kiongozi Mustafa Siyani, kafanikiwa nini?
yaani wewe unayeongea kama ni hakimu, nashauri nenda polepole, zipo kesi nyingi tu CAT ameandika, lakini kwasababu ninyi mahakimu huwa hamuingii Mahakama Kuu wala Mahakama ya rufaa, hautaelewa ninachosema, mnaishia walichofanya wanasheria wenzenu tu na Majaji. jitahidini kuandika hukumu vizuri ili heshima yenu irudi kwasababu kati ya wanasheria wabovu kuwahi kutokea ni kada ya mahakimu. hata huko mahakamani wanawabeba tu mlio wengi. huu ndio ukweli mchungu.
 
yaani wewe unayeongea kama ni hakimu, nashauri nenda polepole, zipo kesi nyingi tu CAT ameandika, lakini kwasababu ninyi mahakimu huwa hamuingii Mahakama Kuu wala Mahakama ya rufaa, hautaelewa ninachosema, mnaishia walichofanya wanasheria wenzenu tu na Majaji. jitahidini kuandika hukumu vizuri ili heshima yenu irudi kwasababu kati ya wanasheria wabovu kuwahi kutokea ni kada ya mahakimu. hata huko mahakamani wanawabeba tu mlio wengi. huu ndio ukweli mchungu.
Niandikie hukumu hapa ili niende Tanzlii nikaitafute, kaishia kuiba hela za World Bank tu
 
Back
Top Bottom