Sheria imzuie professa Juma kujenga ufisadi wa kitaasisi anaotaka kuujenga katika Mahakama

Sheria imzuie professa Juma kujenga ufisadi wa kitaasisi anaotaka kuujenga katika Mahakama

Mtendaji Mzuri ni yule mwenye wivu na watu wake aliohangaika kuwajenga kiuwezo, hatokubali kuwaachia kirahisi, Jaji Mkuu amedhihirisha kuwa ni Mtendaji Mzuri katika Mhimili anaouiongoza, amewakumbusha Watendaji wa Taasisi nyingine wanaowataka Mahakimu kuiga mfano mzuri wa Mahakama kuwaandaa na kuwajenga Watumishi wake ndo maana Taasisi hizo wanawata Mahakimu, pongeza mzee kwamba Mahakama ya Tanzania iko juu hadi hizo Taasisi zinawataka watendaji wake, unakuaje Mtanzania usiye na uelewa wewe?
 
Tunajenga nchi moja. Sasa kwanini tugombanie fito?.
Bado Nina mashaka na mkwara huo. Awaachie wafanyakazi watatute sehemu nzuri. Hiyo ni haki yao. Mahakama msivunje haki za Watanzania.
 
Back
Top Bottom