Sheria imzuie professa Juma kujenga ufisadi wa kitaasisi anaotaka kuujenga katika Mahakama

Sheria imzuie professa Juma kujenga ufisadi wa kitaasisi anaotaka kuujenga katika Mahakama

Huna akili, ukitaka hukumu bora za benchi la CAT humkuti Juma, hata za miaka mitano iliyopita, hata akiwa High Court, zero tupu
hata angeandika hukumu mbaya namna gani haziwezi kulingana na za kwenu mahakimu. muishi mkijua hilo.
 
hata angeandika hukumu mbaya namna gani haziwezi kulingana na za kwenu mahakimu. muishi mkijua hilo.
Unajua lengo la kuweka ngazi za kimahakama? Unatarajia proffessional level ya PCM iwe sawa na CAT au HC?
 
Unajua lengo la kuweka ngazi za kimahakama?
ndugu yangu, tutajadili hadi mwaka, hautakubali ukweli huu. sisi wenzio hizo mnazoamua hapa chini ndio huwa tunapambana nazo high court na court of appeal, ndio maana hata unayojadili najua najadili na mtu wa level gani kiuwezo. jitahidini kusoma kwa bidii na kujifunza kwa walio juu yenu kuandika hukumu, fuateni procedure na sheria, mbona kila kitu kipo wazi? ili pengine mpunguze hizo hasira za kumtukana CJ.
 
Huna akili, ukitaka hukumu bora za benchi la CAT humkuti Juma, hata za miaka mitano iliyopita, hata akiwa High Court, zero tupu
imagine, hakimu hajawahi kuendesha hata kesi High Court, sasaivi hapo wakikuteua jaji ni makarani watakufundisha na kukukumbusha procedures, lakini unadharau watu wanaoshinda kurekebisha madudu yenu High Court na Court of appeal. hivi huwa mnajiona mna akili? sisi mkikaa pale mbele huwa tunawachora sana hadi tunawaonea huruma.
 
imagine, hakimu hajawahi kuendesha hata kesi High Court, sasaivi hapo wakikuteua jaji ni makarani watakufundisha na kukukumbusha procedures, lakini unadharau watu wanaoshinda kurekebisha madudu yenu High Court na Court of appeal. hivi huwa mnajiona mna akili? sisi mkikaa pale mbele huwa tunawachora sana hadi tunawaonea huruma.
Hakimu hajawahi kuendesha kesi? Wakati Juma anakuwa Jaji alikuwa hakimu wa mahakama gani?
 
Hakimu hajawahi kuendesha kesi? Wakati Juma anakuwa Jaji alikuwa hakimu wa mahakama gani?
nimesema hakimu hajawahi kuendesha kesi mahakama kuu, labda niendike kiswahili. kwani wewe ulishawahi kuappear high court au CAT? kama jibu ni hapana jua wewe ni mojawapo ya wale wanaohitaji msaada kwenye experience, no matter how many years you've spent.
 
Hakimu hajawahi kuendesha kesi? Wakati Juma anakuwa Jaji alikuwa hakimu wa mahakama gani?
hata kama alitoka chuo na kuwa jaji au alitoka tume ya haki za binadamu au popote na kuwa jaji, ila ni bora kuliko level zenu hizo. msipandishe mabega, huwa tumewaweka kwenye fungu la vilaza. kama Mungu atakuja kukusaidia kuwa jaji utakuja kujua hili. au, jaribu kupitia mashauri ya high court na cat tanzlii, utajua mpo kundi gani. ni walemavu wa sheria.
 
ndugu yangu, tutajadili hadi mwaka, hautakubali ukweli huu. sisi wenzio hizo mnazoamua hapa chini ndio huwa tunapambana nazo high court na court of appeal, ndio maana hata unayojadili najua najadili na mtu wa level gani kiuwezo. jitahidini kusoma kwa bidii na kujifunza kwa walio juu yenu kuandika hukumu, fuateni procedure na sheria, mbona kila kitu kipo wazi? ili pengine mpunguze hizo hasira za kumtukana CJ.
Kizazi hiki kina mawakili wa hovyo sana, inawezekana wewe ni mmoja wapo, mnaishi karne ya technicalties ambazo hata hamzijui, mnaiba hela za wateja tu, mahalama ikihamia kwenye overriding objective wewe utaenda kuuza mitumba au chips
 
Kizazi hiki kina mawakili wa hovyo sana, inawezekana wewe ni mmoja wapo, mnaishi karne ya technicalties ambazo hata hamzijui, mnaiba hela za wateja tu, mahalama ikihamia kwenye overriding objective wewe utaenda kuuza mitumba au chips
hapana ndugu hakimu, bado hujafikia level za kubishana na wasomi.
 
nimesema hakimu hajawahi kuendesha kesi mahakama kuu, labda niendike kiswahili. kwani wewe ulishawahi kuappear high court au CAT? kama jibu ni hapana jua wewe ni mojawapo ya wale wanaohitaji msaada kwenye experience, no matter how many years you've spent.
Hakimu anaendeshaje kesi High Court? Hata extended lazima ajiandike extended, na hatumii title ya High Court
 
Hakimu anaendeshaje kesi High Court? Hata extended lazima ajiandike extended, na hatumii title ya High Court
sasa, unauliza hakimu anaendeshaje kesi high court, na hapohapo unataja extended jurisdiction. tukueleweje sasa. hao wanaoendesha extended ni makarani kwani, si mahakimu?
 
Ukiona mambo magumu sana hama nchi. Sio lazima uishi Tanzania.

Prof Juma ni mchapakazi. Hiki kilio chako ni upuuzi
 
kawajengea majengo mazuri, kaboresha mifumo sasaivi kila kitu tunakipata mtandaoni, nyaraka tunasajili mtandaoni, mambo safi, kisa tu amemzuia kuhama anamzushia ubaya?
Huyo chiembe ni mjinga. Hivi vilio vyake ni upuuzi tu ambao hakuna wa kumsikiliza

Prof Juma kaboresha mahakama haijawahi kutokea
 
Huyo chiembe ni mjinga. Hivi vilio vyake ni upuuzi tu ambao hakuna wa kumsikiliza

Prof Juma kaboresha mahakama haijawahi kutokea
shida ni kwamba, mahakama huwa hawapendi mawakili toka VYUONI, TLS au serikalini wapewe ujaji. wanataka ule umwinyi wao wa mahakama. kumbe hawa wanaotoka nje ndio wanawasaidia kwasababu hawana umwinyi, wanapiga kazi. walishampiga sana vita huyo Juma, ata feleshi. wanataka majaji wawe wanateuliwa toka kwa mahakimu tu.

pia anang'ang'ania kuhamia taasisi zingine, wakati mahakimu wakienda nje hawawezi kazi. wabaki tu hapohapo mahakamani wanapovumiliwa. wananuka rushwa, wamejaa rushwa, hata ukiona wamejenga au wamevaa wamevaa rushwa na kujenga rushwa,
 
shida ni kwamba, mahakama huwa hawapendi mawakili toka VYUONI, TLS au serikalini wapewe ujaji. wanataka ule umwinyi wao wa mahakama. kumbe hawa wanaotoka nje ndio wanawasaidia kwasababu hawana umwinyi, wanapiga kazi. walishampiga sana vita huyo Juma, ata feleshi. wanataka majaji wawe wanateuliwa toka kwa mahakimu tu.

pia anang'ang'ania kuhamia taasisi zingine, wakati mahakimu wakienda nje hawawezi kazi. wabaki tu hapohapo mahakamani wanapovumiliwa. wananuka rushwa, wamejaa rushwa, hata ukiona wamejenga au wamevaa wamevaa rushwa na kujenga rushwa,
Umeandika takataka
 
Back
Top Bottom