Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
hata angeandika hukumu mbaya namna gani haziwezi kulingana na za kwenu mahakimu. muishi mkijua hilo.Huna akili, ukitaka hukumu bora za benchi la CAT humkuti Juma, hata za miaka mitano iliyopita, hata akiwa High Court, zero tupu
ndugu yangu, tutajadili hadi mwaka, hautakubali ukweli huu. sisi wenzio hizo mnazoamua hapa chini ndio huwa tunapambana nazo high court na court of appeal, ndio maana hata unayojadili najua najadili na mtu wa level gani kiuwezo. jitahidini kusoma kwa bidii na kujifunza kwa walio juu yenu kuandika hukumu, fuateni procedure na sheria, mbona kila kitu kipo wazi? ili pengine mpunguze hizo hasira za kumtukana CJ.Unajua lengo la kuweka ngazi za kimahakama?
imagine, hakimu hajawahi kuendesha hata kesi High Court, sasaivi hapo wakikuteua jaji ni makarani watakufundisha na kukukumbusha procedures, lakini unadharau watu wanaoshinda kurekebisha madudu yenu High Court na Court of appeal. hivi huwa mnajiona mna akili? sisi mkikaa pale mbele huwa tunawachora sana hadi tunawaonea huruma.Huna akili, ukitaka hukumu bora za benchi la CAT humkuti Juma, hata za miaka mitano iliyopita, hata akiwa High Court, zero tupu
Hakimu hajawahi kuendesha kesi? Wakati Juma anakuwa Jaji alikuwa hakimu wa mahakama gani?imagine, hakimu hajawahi kuendesha hata kesi High Court, sasaivi hapo wakikuteua jaji ni makarani watakufundisha na kukukumbusha procedures, lakini unadharau watu wanaoshinda kurekebisha madudu yenu High Court na Court of appeal. hivi huwa mnajiona mna akili? sisi mkikaa pale mbele huwa tunawachora sana hadi tunawaonea huruma.
nimesema hakimu hajawahi kuendesha kesi mahakama kuu, labda niendike kiswahili. kwani wewe ulishawahi kuappear high court au CAT? kama jibu ni hapana jua wewe ni mojawapo ya wale wanaohitaji msaada kwenye experience, no matter how many years you've spent.Hakimu hajawahi kuendesha kesi? Wakati Juma anakuwa Jaji alikuwa hakimu wa mahakama gani?
hata kama alitoka chuo na kuwa jaji au alitoka tume ya haki za binadamu au popote na kuwa jaji, ila ni bora kuliko level zenu hizo. msipandishe mabega, huwa tumewaweka kwenye fungu la vilaza. kama Mungu atakuja kukusaidia kuwa jaji utakuja kujua hili. au, jaribu kupitia mashauri ya high court na cat tanzlii, utajua mpo kundi gani. ni walemavu wa sheria.Hakimu hajawahi kuendesha kesi? Wakati Juma anakuwa Jaji alikuwa hakimu wa mahakama gani?
Kizazi hiki kina mawakili wa hovyo sana, inawezekana wewe ni mmoja wapo, mnaishi karne ya technicalties ambazo hata hamzijui, mnaiba hela za wateja tu, mahalama ikihamia kwenye overriding objective wewe utaenda kuuza mitumba au chipsndugu yangu, tutajadili hadi mwaka, hautakubali ukweli huu. sisi wenzio hizo mnazoamua hapa chini ndio huwa tunapambana nazo high court na court of appeal, ndio maana hata unayojadili najua najadili na mtu wa level gani kiuwezo. jitahidini kusoma kwa bidii na kujifunza kwa walio juu yenu kuandika hukumu, fuateni procedure na sheria, mbona kila kitu kipo wazi? ili pengine mpunguze hizo hasira za kumtukana CJ.
hapana ndugu hakimu, bado hujafikia level za kubishana na wasomi.Kizazi hiki kina mawakili wa hovyo sana, inawezekana wewe ni mmoja wapo, mnaishi karne ya technicalties ambazo hata hamzijui, mnaiba hela za wateja tu, mahalama ikihamia kwenye overriding objective wewe utaenda kuuza mitumba au chips
Hakimu anaendeshaje kesi High Court? Hata extended lazima ajiandike extended, na hatumii title ya High Courtnimesema hakimu hajawahi kuendesha kesi mahakama kuu, labda niendike kiswahili. kwani wewe ulishawahi kuappear high court au CAT? kama jibu ni hapana jua wewe ni mojawapo ya wale wanaohitaji msaada kwenye experience, no matter how many years you've spent.
sasa, unauliza hakimu anaendeshaje kesi high court, na hapohapo unataja extended jurisdiction. tukueleweje sasa. hao wanaoendesha extended ni makarani kwani, si mahakimu?Hakimu anaendeshaje kesi High Court? Hata extended lazima ajiandike extended, na hatumii title ya High Court
punguza tu hasira, wakati mwingine ukipewa vidonge kunywa, ni dawa itakuponya.Msomi wa konyo, umeenda law school, watu wamepiga bar exam, uwakili wako wa holela
kawajengea majengo mazuri, kaboresha mifumo sasaivi kila kitu tunakipata mtandaoni, nyaraka tunasajili mtandaoni, mambo safi, kisa tu amemzuia kuhama anamzushia ubaya?Ukiona mambo magumu sana hama nchi. Sio lazima uishi Tanzania.
Prof Juma ni mchapakazi. Hiki kilio chako ni upuuzi
Huyo chiembe ni mjinga. Hivi vilio vyake ni upuuzi tu ambao hakuna wa kumsikilizakawajengea majengo mazuri, kaboresha mifumo sasaivi kila kitu tunakipata mtandaoni, nyaraka tunasajili mtandaoni, mambo safi, kisa tu amemzuia kuhama anamzushia ubaya?
shida ni kwamba, mahakama huwa hawapendi mawakili toka VYUONI, TLS au serikalini wapewe ujaji. wanataka ule umwinyi wao wa mahakama. kumbe hawa wanaotoka nje ndio wanawasaidia kwasababu hawana umwinyi, wanapiga kazi. walishampiga sana vita huyo Juma, ata feleshi. wanataka majaji wawe wanateuliwa toka kwa mahakimu tu.Huyo chiembe ni mjinga. Hivi vilio vyake ni upuuzi tu ambao hakuna wa kumsikiliza
Prof Juma kaboresha mahakama haijawahi kutokea
Umeandika takatakashida ni kwamba, mahakama huwa hawapendi mawakili toka VYUONI, TLS au serikalini wapewe ujaji. wanataka ule umwinyi wao wa mahakama. kumbe hawa wanaotoka nje ndio wanawasaidia kwasababu hawana umwinyi, wanapiga kazi. walishampiga sana vita huyo Juma, ata feleshi. wanataka majaji wawe wanateuliwa toka kwa mahakimu tu.
pia anang'ang'ania kuhamia taasisi zingine, wakati mahakimu wakienda nje hawawezi kazi. wabaki tu hapohapo mahakamani wanapovumiliwa. wananuka rushwa, wamejaa rushwa, hata ukiona wamejenga au wamevaa wamevaa rushwa na kujenga rushwa,
hakimu unapata wapi akili kunambia hivyo. ndo maana huwa mnaandika madudu hata aibu hamna.Umeandika takataka