Sheria mpya ya TISS tusijifanye vipofu wakati kumbe tunatawaliwa ama tunaenda kutawaliwa kijeshi

Kuna haja ya kuangalia usalama wa taifa kama raia wenye nchi yao wanayoilinda na kuipenda badala ya jeshi au kikundi fulani Cha kulinda maslahi au usalama wa viongozi.
Usalama wa taifa ulenge maslahi mapana ya raia na taifa kwa ujumla dhidi ya hatari za kiusalama kutoka nje.
Haiwezekani na haikubaliki popote pale, usalama wa taifa uhusishwe na utekaji, kuua au wizi wa kura kwa sababu tu ya kulinda madaraka ya mtu mmoja au kikundi fulani.
Kinga ya kisheria dhidi ya jinai inaweza kuunganisha nukta kuelekea kwenye tuhuma hizo.
Kuna njia nyingi za kuepuka jinai kama wangetumia intelijensia, labda waliotengeneza muswada hawana hiyo.
 
Mkuu labda leseni ya kuua itaongeza ufanisi kwenye utendaji kazi😁

View attachment 2643493
I got a License to kill so I steer the Gat
Roc-A-Fella, Ruff Ryders, niqqas scared of that
Got a new motto this year, "Don't Fv<k With My Ones"
Knock on your door, three in the morning
"It's just us and the guns!"

Jigga oh My Nikka - 1999
 
Hao jamaa wa TISS wataanza kuua watu hasa wapinzani wa watawala na hawatochukuliwa hatua yoyote ile kwa sababu sasa wana Kinga.

Na wanaCCM watakuwa wajinga wakidhani kuwa hii itaenda kuwagusa wapinzani tu, atatokea mtawala kichaa ataanza kuwashughulikia kupitia watu wa usalama wa Taifa na hawatakuwa na yeyote wa kumhold accountable
 
Magu alikuwa Kweli Dictator uchwara,

Huyu anaandaliwa kuwa zaidi ya hapo!!!!
 
Hapa dawa ni kutafuta tu mtu mwenye majini yake makali ili iwe fundisho kwa kolokolo yeyote akizingua
 
Tofauti kubwa sana iwapo sheria itawalinda kushtakiwa.
 
Tofauti kubwa sana iwapo sheria itawalinda kushtakiwa.

Kwani kwasasa haiwalindi? Mbona wamempoteza Ben watcheight? Mbona wamemtandika Lissu risasi? Kuna aliyeshitakiwa? Kwani hii sheria ndiyo itawaruhusu kuua hadharani huku watu wakiwaona na kutembea bila wasiwasi kama wafanyavyo polisi wakiwa field? Si wataendelea kufanya kwa kificho hicyo hivyo? Sasa mantiki ya kuwa na sheria ya kuwalinda ni nini? Kwani kuna aliyewahi kushitakiwa? Kama yupo unaweza kuweka hiyo case hapa?
 
Nina wasi wasi kufungwa kwa Sabaya kumewafanya wanaomuunga mkono Sabaya yasije kuwakuta tena.

Inaonekana wana nguvu.

Je wamejipanga kurudia yale yale?
 
Exactly
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…