Sheria mpya ya TISS tusijifanye vipofu wakati kumbe tunatawaliwa ama tunaenda kutawaliwa kijeshi

Wewe Mayalla wewe,kuna wakati unajidharirisha,vitu vingine uwe una kaa kimya,sio kile kitu ukiandikie.Nani alikuambia Tiss hawaruhusiwi kuteka?!.Nani alikuambia Tiss hawaruhusiwi kuua?.
Mayalla,kogano nosse ulita shiballa.
 
Ili taifa liweze kuwa na amani,ni lazima kuna washenzi ni lazima waumie,
 
Lengo kuu la Idara ni kutafuta taarifa, kuchakata na kutoa ushauri kwa wafanya maamuzi.

Nyenzo ya kufikia hayo hapo juu ni usiri katika kusaka taarifa hizo.


Sina hakika hilo la kinga ya jinai na kubeba silaha lina mchango mahiri sana kuyafikia malengo. Kulinda jinai kunaindoa nguvu ya usiri katika kusaka taarifa. Jinai haifichiki, hasa hiyo inayosamehewa ndio itasambaa kama moto wa nyika mifano ya matukio hayo yapo, na yamechafua hasa sifa za vyombo.

Tafasiri ya taarifa za kiusalama ni zipi sasa, maana unachorwa sasa mstari mwembamba kati ya Idara, Polisi-CID
 
Sasa kwa sheria hii hii si wanaua ,wanateka na wanajeruhi na hawashitakiwi sasa nini kinaenda kubadilika?
Tanzania imerithi kila aina ya unyama ambayo ilipambana nao against during ilipokuwa mstari wa mbele kupambania afrika

Watu wetu walienda kupambana na wakarudi wameiga namna ya kukandamiza badala ya kuendeleza
 
Ili taifa liweze kuwa na amani,ni lazima kuna washenzi ni lazima waumie,

Si kweli ,hao unaosema washenzi mara nyingi ni wasema kweli ,Lissu kilichomponza ni kufichua ukweli kwamba mkulima styne kachukua ndege....Ukweli haufichiki hata kama ukichelewa.

Serikali za kidikteta mara nyingi hazipendi kuambiwa ukweli ,mbona kwasasa mikutano ya wapinzani inaendelea na wanasema ukweli mbona hawatekwi? Yule Dikteta alikuwa hataki kuambiwa ukweli kwasababu alikuwa anawaongopea watanzania.
 
Kwa hiyo endapo TISS ndio hivi inatik, halafu POLISI qanafanikiwa kupenyeza Boss kutokea TISS na JWTZ hali kadhalika, maana yake itakuwa TIFWILI,yaani watakachoamua wao hichohicho, aaahaa, jamani, mbona maisha haya walau twaishi kwa upendo tu, why mnajiandae saaana jamani! Sio vizuri.

Sent from my SM-G977B using JamiiForums mobile app
 

Mkuu

Unaposema wafanya maamuzi....

Unamaanisha nini...?!
 
Sheria kandamizi zote zimetungwa kipindi cha mzilankende akidhani ataishi milele, Sasa kuna watu serikalini wanataka kumwingiza bi mkubwa king alafu baadaye wafanye yao kupitia hao wavaa miwani
Kwanini asiukatae labda unathibitisha mastori ya kitaa kuwa
Bint kirembo yupo pale kama MC tu
 
wanalenga kuwalinda waliompiga risas Lisu
 
Chukua mfano wa Raila, tangu Kenya wapate uhuru yeye na baba yake ni wapinzani tu. Walitaka Uhuru wakapata uhuru ,(akiwamo Rais).

Wakataka majimbo wakapata majimbo (wao khasa walitaka ukabila, Dholuo wajitawale wamejitawala). Baadaye wakataka katiba mpya wakapata katiba mpya. Wakataka mahakama huru Wakataka kura huru wakapiga kura huru wakashindwa. Wakakata rufaa wakashindwa . Sasa wanaandamana kupinga bei ya mtori. Huyu utamchekea mpaka lini?

Na hapa tunaelekea huko, kumbuka migomo ya Muhimbili na vikundi vya UAMSHO. Kumbuka wasaliti wa makanikia.

Hivi utawachekea hadi lini? Sometimes, it's best to use other ways.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…