yvegenc prymacov
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 1,530
- 1,961
Wewe Mayalla wewe,kuna wakati unajidharirisha,vitu vingine uwe una kaa kimya,sio kile kitu ukiandikie.Nani alikuambia Tiss hawaruhusiwi kuteka?!.Nani alikuambia Tiss hawaruhusiwi kuua?.Kwa mujibu wa bandiko hili, TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!
muswada huu ni majibu ya hoja zangu za bandiko hili, yale mambo niliyoaulizia humu ambayo TISS hawaruhusiwi, kuteka, kutesa na kuua, kwa muswada huu, sasa TISS wanaruhusiwa!.
P
Mayalla,kogano nosse ulita shiballa.