Sheria ya Kikristo inasemaje kwa mtoto wa nje ya ndoa?

Sheria ya Kikristo inasemaje kwa mtoto wa nje ya ndoa?

Hakuna sheria ya malezi ya mtoto au watoto wa nje ya ndoa. Cha zaidi utatafutiwa vimistari vya wizi wizi na ya kutunga kwa hadithi na visa vya hapa na pale but hakuna sehemu imeongelea direct kuhusu malezi ya mtoto nje ya ndoa sababu maagizo yapo kabisa kuwa mahusiano halali ni yale ya ndani ya ndoa tu.

Nje ya ndoa chochote ni batili.
 
Hapo utawakamata kweny Matrimonial property ndio utaona udhaifu wa sheria
Ishu ni urithi hapa, mtu akifariki mali yake inahama kutoka matrimonial kuwa estate, sasa linapokuja suala la estate, every child has a right to inherit from his parent's estate!
 
Ishu ni urithi hapa, mtu akifariki mali yake inahama kutoka matrimonial kuwa estate, sasa linapokuja suala la estate, every child has a right to inherit from his parent's estate!
Hapo tatizo ni uhalali wa mtoto , hii ni pana sana unapoeleza japo sheria zinapinda mtoto hana kosa ila uhalali wake ni batili kwa baba .

Huwezi kuhalalisha mtoto wa zinaa ni sawa na kutakatisha pesa ( Money laundering ), pesa iliyopatikana kwa njia ambayo sio halali kuingiza kweny mzunguko (kuhalalisha) ni kosa japo pesa haina tatizo , the same applies kwa mtoto wa zinaa hakuna njia utamfanya awe halali zaidi ni makosa.
 
Kama alivyo note Accumen Mo hapo juu, ishu ya Matrimonial property inaweka sawa hii kitu (joint efforts towards obtaining the property in question).
Kama mzazi ambayeni baba hana anacho miliki kimaandishi na kwa jina lake, mfano ,hati zote za nyumba hazisomi jina la baba hii itakuwaje ,ili hao watoto wa nje wapate Mali za baba yao.
 
Hakuna issue ya zinaa au mtoto batili kwenye sheria, otherwise asiwe amezalishwa na mhusika!
Kumbuka, hakuna jinai kwenye kuzaa nje ya ndoa, usichanganye LEGALITY na MORALITY!
Hapo tatizo ni uhalali wa mtoto , hii ni pana sana unapoeleza japo sheria zinapinda mtoto hana kosa ila uhalali wake ni batili kwa baba .

Huwezi kuhalalisha mtoto wa zinaa ni sawa na kutakatisha pesa ( Money laundering ), pesa iliyopatikana kwa njia ambayo sio halali kuingiza kweny mzunguko (kuhalalisha) ni kosa japo pesa haina tatizo , the same applies kwa mtoto wa zinaa hakuna njia utamfanya awe halali zaidi ni makosa.
 
Mkuu,kwa kweli sijui sheria hizo ila mtoto ni mtoto tu.Hata kama ulimzaa juu ya mti.Ni mtoto tu na ana haki zote kama mtoto.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1666]
 
Hakuna issue ya zinaa au mtoto batili kwenye sheria, otherwise asiwe amezalishwa na mhusika!
Kumbuka, hakuna jinai kwenye kuzaa nje ya ndoa, usichanganye LEGALITY na MORALITY!
Neno zinaa tu ndio ubatili yaani haifai , neno halisi ya kitendo halali ni tendo la ndoa ila zinaa tayari ni kosa.
 
Ishu ni urithi hapa, mtu akifariki mali yake inahama kutoka matrimonial kuwa estate, sasa linapokuja suala la estate, every child has a right to inherit from his parent's estate!
Sheria ipi ya kikiristo inasema ivo?
 
WAH HABARI ZA UZIMA NAAMINI MMEAMKA SALAMA.WALE WALIO NA MAGONJWA ALLAH AKAWAPE WEPESI NA WALE MLIO HOSPT MUNGU AKAWAPE WEPESIS PIA MTOKE HUKOO SIO KUZURI NA AKUZOELEKI

REJEA KICHWA CHA HABARI HAPO JUU WENYE UFAHAMU MZAZI WA KIUME AKIFS WATOTO WANJE WANARITHI....??KWA DINI YA KIKRISTO.....
mgawanyo wa mirathi kwa dini ya Kikristo inatumia sheria ya kiserikali ambayo haimbagui mtoto wa kambo. mtoto wa kambo ana haki sawa na mtoto wa kwenye ndoa. Ukristo haumtaji mwanadamu kama haramu ati kwasababu alizaliwa nje ya ndoa, hii ni kwasababu mtoto hana hatia na hata siku ile anazaliwa hajui kama yeye ni mtoto wa kambo au alipatikana guest, mamake akiwa malaya, au mamake akiwa mchungaji. mtoto ni mtoto na ana haki zote. ndio maana tunasema watu waje kwenye Ukristo kwasababu hii ndiyo dini ya haki.

kwa waislam mtoto wa kambo ni mtoto haram hastahili kabisa kurithi kwa babake, atarithi tu kwa mamake, wao wanaamini huyo ni mtoto wa mama. kwenye urithi yeye sio mrithi kwa mali za babake. baba kama ana huruma sana anaweza kumpa kwa kupitia wosia na isizidi 1/3. na anapewa sio kama mtoto, ni zawadi tu anapewa kama ambavyo angepewa mtu mwingine. uislam unajitapa kwamba ni dini ya haki na upendo ila mtoto wa aina hii wanamwita haram na hata kurithi marufuku. ukimbieni uislam wandugu, sio dini ya haki.

ninyi nyote mlio watoto wa kambo humu ndani, jueni uislam unawaita ninyi wanadamu haramu/watoto haram. ati ninyi ni haram. kwani mna kosa gani? mlijikuta tu mpo hapa duniani afu mtu anakuja kuwaita ninyi ni haram! ni kipimo gani cha utakatifu?

chukua mfano, baba na mama wa kiislam ambao ni majambazi na wachawi wamezaa mtoto, ni watu waovu kabisa hawa (mfano tu) mtoto anazaliwa akiwa sio haram. ila mwanamke amezini kapata mtoto, mtoto ni haram kabisa. sasa tuulize, mtoto aliyezaliwa na majambazi (wenye dhambi hawa) na mtoto aliyezaliwa na dada mwenye tabia nzuri tu ila amezini, wana tofauti gani? huyu kazaliwa kwenye ndoa na wazazi majambazi yaani mbegu ya jambazi na yai la jambazi zimemzalisha huyo mtoto, kama tunahukumu hivyo ungemweka mzani mmoja na dada aliyeteleza kwa kuzini (ila tabia zake zingine njema) akapata mtoto kabla ya ndoa au nje ya ndoa.
 
mgawanyo wa mirathi kwa dini ya Kikristo inatumia sheria ya kiserikali ambayo haimbagui mtoto wa kambo. mtoto wa kambo ana haki sawa na mtoto wa kwenye ndoa. Ukristo haumtaji mwanadamu kama haramu ati kwasababu alizaliwa nje ya ndoa, hii ni kwasababu mtoto hana hatia na hata siku ile anazaliwa hajui kama yeye ni mtoto wa kambo au alipatikana guest, mamake akiwa malaya, au mamake akiwa mchungaji. mtoto ni mtoto na ana haki zote. ndio maana tunasema watu waje kwenye Ukristo kwasababu hii ndiyo dini ya haki.

kwa waislam mtoto wa kambo ni mtoto haram hastahili kabisa kurithi kwa babake, atarithi tu kwa mamake, wao wanaamini huyo ni mtoto wa mama. kwenye urithi yeye sio mrithi kwa mali za babake. baba kama ana huruma sana anaweza kumpa kwa kupitia wosia na isizidi 1/3. na anapewa sio kama mtoto, ni zawadi tu anapewa kama ambavyo angepewa mtu mwingine. uislam unajitapa kwamba ni dini ya haki na upendo ila mtoto wa aina hii wanamwita haram na hata kurithi marufuku. ukimbieni uislam wandugu, sio dini ya haki.

ninyi nyote mlio watoto wa kambo humu ndani, jueni uislam unawaita ninyi wanadamu haramu/watoto haram. ati ninyi ni haram. kwani mna kosa gani? mlijikuta tu mpo hapa duniani afu mtu anakuja kuwaita ninyi ni haram! ni kipimo gani cha utakatifu?

chukua mfano, baba na mama wa kiislam ambao ni majambazi na wachawi wamezaa mtoto, ni watu waovu kabisa hawa (mfano tu) mtoto anazaliwa akiwa sio haram. ila mwanamke amezini kapata mtoto, mtoto ni haram kabisa. sasa tuulize, mtoto aliyezaliwa na majambazi (wenye dhambi hawa) na mtoto aliyezaliwa na dada mwenye tabia nzuri tu ila amezini, wana tofauti gani? huyu kazaliwa kwenye ndoa na wazazi majambazi yaani mbegu ya jambazi na yai la jambazi zimemzalisha huyo mtoto, kama tunahukumu hivyo ungemweka mzani mmoja na dada aliyeteleza kwa kuzini (ila tabia zake zingine njema) akapata mtoto kabla ya ndoa au nje ya ndoa.
kwa nn itumie sheria ya serikali dini kama dini kwa nini ikose sheria zake binafsi?
 
kwa waislam mtoto wa kambo ni mtoto haram
Mkuuu nimesoma mahali jarida la kiislam linasema mtoto wa nje ya ndoa SIO HARAMU BALI KITENDO NDICHO HARAMU.
 

Attachments

  • Screenshot_20240518_133043.jpg
    Screenshot_20240518_133043.jpg
    523.1 KB · Views: 3
Ukristo una sheria za mirathi mkuu? Nimeishataja sheria zinazosimamia mirathi kwa Tanzania, make reference!
 
Hilo neno zinaa umeliona popote kwenye sheria husika?
Sheria ipi ? Hizi za kuletwa na wazungu . Mtoto wa zinaa ni wa zinaa milele hata iweje .

Jamii za kiafrica zinatambua hilo kuna kumtakasa kwa vile sio halali .
 
ISLAM INASEMA NINI KWA WATOTO WA KUZALIWA INJE YA NDOWA?

JIBU
Sifa zote njema anastahiki Allah Aliyetukuka Mola wa walimwengu wote, Swalah na salamu zimshukie kipenzi chetu Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ‘Alayhi Wa Aalihi Wa Sallam) Ahli zake, Sahaba zake (Radhiya Allaahu ‘Anhum) na watangu wema mpaka Siku ya Mwisho.

Katika Uislamu kitendo hicho cha zinaa ambacho kimefanywa na mwanaume na mwanamke ndio makosa na waliofanya wanafaa waadhibiwe hapa duniani ili wasafishwe kwa kosa lao hilo hadharani. Na Allah (Subhaanahu Wa Ta’ala) Ametuagizia Tusikaribie kabisa zinaa (17: 32). Lakini tufahamu ya kwamba yule mtoto anayezaliwa hana hatia yoyote. Allah (Subhaanahu Wa Ta’ala) Anasema:

“Na kila nafsi haichumii ila nafsi yake. Na habebi mwenye kubeba mzigo wa mwenziwe. Kisha marejeo yenu ni kwa Mola wenu Naye Atakuambieni mliyo kuwa mkitofautiana” (6: 164).

Na Mtume (Swalla Allaahu ‘Alayhi Wa Aalihi Wa Sallam) amesema: ((Kila kinachozaliwa kinazaliwa katika Uislamu .....)) l-Bukhaariy).

Na haifai kwa Muislamu kumuita mtoto aliyezaliwa kwa jina la mwana-haramu kwa sababu mtoto mwenyewe si wa haramu bali kitendo chenyewe ndicho haramu. Na ieleweke kuwa mtoto huyu hataitwa kwa jina la huyu mwanaume aliyezini na mamake kwa sababu kisheria si mtoto wake wala hawa wawili hawarithiani kabisa. Mtoto huyu hatamrithi huyo mwanaume na huyo baba hatamrithi mtoto huyo. Lakini mtoto anaweza kumrithi mama yake na mama kumrithi mtoto wake.
Tanbihi kwa kila mmoja wetu ajichunge sana ili asiingie katika madhambi haya ya zinaa. Na ndio sheria ikafanya ndoa kuwa rahisi na ikaweka adhabu kali kwa wenye kuzini.
 
ISLAM INASEMA NINI KWA WATOTO WA KUZALIWA INJE YA NDOWA?

JIBU
Sifa zote njema anastahiki Allah Aliyetukuka Mola wa walimwengu wote, Swalah na salamu zimshukie kipenzi chetu Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ‘Alayhi Wa Aalihi Wa Sallam) Ahli zake, Sahaba zake (Radhiya Allaahu ‘Anhum) na watangu wema mpaka Siku ya Mwisho.

Katika Uislamu kitendo hicho cha zinaa ambacho kimefanywa na mwanaume na mwanamke ndio makosa na waliofanya wanafaa waadhibiwe hapa duniani ili wasafishwe kwa kosa lao hilo hadharani. Na Allah (Subhaanahu Wa Ta’ala) Ametuagizia Tusikaribie kabisa zinaa (17: 32). Lakini tufahamu ya kwamba yule mtoto anayezaliwa hana hatia yoyote. Allah (Subhaanahu Wa Ta’ala) Anasema:

“Na kila nafsi haichumii ila nafsi yake. Na habebi mwenye kubeba mzigo wa mwenziwe. Kisha marejeo yenu ni kwa Mola wenu Naye Atakuambieni mliyo kuwa mkitofautiana” (6: 164).

Na Mtume (Swalla Allaahu ‘Alayhi Wa Aalihi Wa Sallam) amesema: ((Kila kinachozaliwa kinazaliwa katika Uislamu .....)) l-Bukhaariy).

Na haifai kwa Muislamu kumuita mtoto aliyezaliwa kwa jina la mwana-haramu kwa sababu mtoto mwenyewe si wa haramu bali kitendo chenyewe ndicho haramu. Na ieleweke kuwa mtoto huyu hataitwa kwa jina la huyu mwanaume aliyezini na mamake kwa sababu kisheria si mtoto wake wala hawa wawili hawarithiani kabisa. Mtoto huyu hatamrithi huyo mwanaume na huyo baba hatamrithi mtoto huyo. Lakini mtoto anaweza kumrithi mama yake na mama kumrithi mtoto wake.
Tanbihi kwa kila mmoja wetu ajichunge sana ili asiingie katika madhambi haya ya zinaa. Na ndio sheria ikafanya ndoa kuwa rahisi na ikaweka adhabu kali kwa wenye kuzini.
utasemaje kisheria si mtoto wake wakati ametokana na mbegu yake na anaitwa kwa jina lake? hauoni hapo mnamnyima haki ya kuwa mwana wa baba yake? na je? anarithi au harithi, ukiondoa ile 1/3, na kwa nini harithi? kwanini ahukumiwe huyu wa kuzini ila yule ametokana na wazazi majambazi asihukumiwe, ina maana dhambi kubwa kwenu ni uzinzi tu hadi imuathiri na mtoto anayezaliwa? wazazi majambazi wanakuwa ni wenye dhambi kwanini mtoto anayetokana nao naye asistahili kurithi?
 
kwa nn itumie sheria ya serikali dini kama dini kwa nini ikose sheria zake binafsi?
wakristo hatuna sheria ya kidini, Biblia inatuelekeza tupendane na tusibaguane. sheria ya kiserikali haibagui, hivyo hiyo kwetu sisi tunaendana nayo.
 
Back
Top Bottom