Mwanamke wa mithali 31
JF-Expert Member
- Apr 10, 2024
- 1,159
- 2,577
Sifahamu,lakini mimi nimezaliwa nje ya ndoa,
Namshukuru sana baba yangu kwasababu amefanya majukumu yake 💯% sawa sawa na watoto wake wengine hajapunguza, zaidi kaongeza kwangu.......alinichukua na kunilea mimi ndani ya ndoa yake,nikiwaa na mwaka 1 tu hivyo mama yangu mzazi hajanilea mimi hata sijawah kuishi naye,
Wanaume msiwazae watoto nje ya ndoa kwasababu wanateseka sana kwakukosa upendo kutoka kwa ndugu zao,kama kutengwa n.k
Mimi ni baba pekee ananipenda ila kuanzia mama Hadi watoto yaan ndugu zangu hawanipend kabisa na huthubutu hata kusema hadharan mimi siyo ndugu Yao. Ila nimeishi nao,wamenilea kwa nguvu ya baba kwasababu baba SI ndye mwenye nguvu NYUMBANI
Kwahyo ushauri wangu kwa wanaume na wanawake msizae hovyo kama hampo kwenye ndoa au hamna mpango wa kuoana,
Mimi Leo Sina kaka Wala dada Wala Nan kwasababu hawanihitaji,
Ila ninachojua baba yangu ananipenda sana,na huyu ndiye rafiki yangu pekee nimebaki naye,basi namuombea kwa Mungu amjaalie maisha marefu niendelee kumuona.
Kuhusu urithi mimi sihitaji urithi
Huyo ni mtoto wako huo ni mkojo wako brooo
Unaweza kumtengenezea mipango mizur ukiwa bado upo hai......
Namshukuru sana baba yangu kwasababu amefanya majukumu yake 💯% sawa sawa na watoto wake wengine hajapunguza, zaidi kaongeza kwangu.......alinichukua na kunilea mimi ndani ya ndoa yake,nikiwaa na mwaka 1 tu hivyo mama yangu mzazi hajanilea mimi hata sijawah kuishi naye,
Wanaume msiwazae watoto nje ya ndoa kwasababu wanateseka sana kwakukosa upendo kutoka kwa ndugu zao,kama kutengwa n.k
Mimi ni baba pekee ananipenda ila kuanzia mama Hadi watoto yaan ndugu zangu hawanipend kabisa na huthubutu hata kusema hadharan mimi siyo ndugu Yao. Ila nimeishi nao,wamenilea kwa nguvu ya baba kwasababu baba SI ndye mwenye nguvu NYUMBANI
Kwahyo ushauri wangu kwa wanaume na wanawake msizae hovyo kama hampo kwenye ndoa au hamna mpango wa kuoana,
Mimi Leo Sina kaka Wala dada Wala Nan kwasababu hawanihitaji,
Ila ninachojua baba yangu ananipenda sana,na huyu ndiye rafiki yangu pekee nimebaki naye,basi namuombea kwa Mungu amjaalie maisha marefu niendelee kumuona.
Kuhusu urithi mimi sihitaji urithi
Huyo ni mtoto wako huo ni mkojo wako brooo
Unaweza kumtengenezea mipango mizur ukiwa bado upo hai......