wewe ni mwanasheria, tuanzie hapo.
kwa habari ya hawa watu, achana na sheria ya mtoto 2009, achana na indian succession Act au predecents za hivi karibuni zinazosema mtoto anarithi. kwa hawa waislam, sheria inayotumika pindi mtu akisema ni muislam ni kuran, na kwenye kuran imekataza kumrithisha mtoto wa kambo. maamuzi yote yaliyotoka ni ya Mahakama kuu, jaji wa mahakama kuu hafungwi, hata kama kama kuna kesi inasema watoto wote wanarithi, haimzuii jaji mwingine kudepart aendane na kuran hata kama sheria ya mtoto ipo.