Sheria ya kumhudumia Mwanamke ifutwe, kwa sasa Ajira zinatolewa kwa Wote bila upendeleo

Sheria ya kumhudumia Mwanamke ifutwe, kwa sasa Ajira zinatolewa kwa Wote bila upendeleo

Kuna vitu vipo wide na unaweza wewe tafsiri yako binafsi ikawa tofauti na tafsiri ya mtu mwingine; hence mtu anapokuuliza wewe kwa muktadha wako kwenye context hii unamaanisha nini ili tuwe kwenye same page na kuweza kujadili kilichopo kwenye hio page..., Sasa hapa kwenye hii paragraph umetoa issue za mimi kuajiri / kuajiriwa na kujua Sheria..., Inawezekana nimeajiriwa katika Msikiti hence kwangu mimi Mwanaume ndio kichwa hata iweje lazima nitoe huduma (hio ipo kwenye Imani wala siwezi kuibadilisha)....

Sasa sababu haujajibu nina-assume unamaanisha Sheria ambayo iwe sheria lazima iwe na penalty kwa mtu kuivunja kutokana na Misingi watu waliyojiwekea.., au niende further unamaanisha Kifungu Na. 63 cha Sheria ya Ndoa...... Kwa Maneno yasiyo Rasmi.....

Now kama hicho ndicho unachomaanisha..., suala ni kwamba kila case inaweza ikatatuliwa kutokana na mazingira yake..., sidhani kama Samia anaweza kumshitaki mume wake eti hajamnunulia Nyumba, au Kumpa Chakula (sababu hana uhaba huo)..., LAKINI mfano keshokutwa SAMIA (kwa kutokutumia IMANI yao bali Sheria za Nchi) akiamua kudai Talaka yake anaweza kusema huyu Bwana hatoi Huduma yoyote hivyo mimi kuendelea kuwa mke wake na kunizibia opportunity za kuwa na Bwana mwingine wakati yeye hatimizi / hachangii wellbeing yangu kwa lolote nataka uhuru wangu na aniache... Kwahio hapo atakuwa ana point... KULIKO kufuta hiki kipengele huenda ikatokea watu kuoa mtaa mzima (hence kuwazibia uhuru wao kwamba ni wake zao) wakati hawachangii lolote kwa kumfunga huyu so called mke...

Issue ya kukopa kwa Dhamana ya Mume: Sheria hii imewekwa kutokana na hii scenario

Sasa mfano watoto wanataka kwenda shule na mume ametoroka (kweli mama asiweke rehani gari aliloacha mume wake hapo kwenye garage)? lakini nina uhakika kama huyu Mama (SAMIA) atafanya hivyo kwa kuuza nyumba ya mume wake ili anunue lipstick Mahakama haiwezi kusema ni sawa kilichofanyika...; Ingawa akisema huyu Bwana hana mchango wowote kila mtu achukue hamsini zake anaweza kuweka kigezo cha kutokumuhudumia kama sababu ya kuachana nae....

Kumbe ulichokuwa unauliza ulikuwa unakielewa. Vizuri.
Unafikiri kwa nini sheria ya kumhudumia Mwanamke iliwekwa?
 
Kumbe ulichokuwa unauliza ulikuwa unakielewa. Vizuri.
Tunazunguka kuongelea vitu minor badala ya kuongelea mzizi wa mjadala (mimi nachokielewa au kudhani ninakielewa sio necessarily kwamba ni kweli au kile unachokielewa wewe) hence kabla hatujaongelea kubadilisha nachokielewe mimi lazima nifahamu kama ninachodhani mimi ndicho unachodhani wewe...; hence kama tupo kwenye same page tunaweza kwenda kwenye mjadala zaidi.....
Unafikiri kwa nini sheria ya kumhudumia Mwanamke iliwekwa?
Sheria iliwekwa ili mwanamke asiwe abused; kwenye Ulimwengu wa Mwanaume ambao upo intertwined kwenye Imani za watu atleast Mke (hapa keyword ni Mke) ambaye Jamii inaona ni Jukumu lake kumuhudumia mme wake kwa wellbeing yake (kutayarisha kitoweo n.k.) basi huyu so called mume na yeye ahakikishe huyu so called mke wake asikose Malazi; Mavazi na Chakula....

Sasa basi uzuri wa Sheria kabla ya Penalty kuna watu wanaoangalia Scenario..., Je huyu mtu ana-lack hivyo vitu au anaweza kujipatia mwenyewe ? Je ni sacrifice ngapi amefanya career-wise...; Je sababu huyu Mume hakuna anachompatia zaidi ya kuja kulala mara moja kwa wiki.., huyu mama akitaka kumtaliki je anaweza kutoa hii sababu... (ukizingatia katika Sheria zetu nyingine za nchi mwanaume anaweza kuoa wake hata wanne wakati mwanamke hawezi kufanya hivyo)

In conclusion Sheria hii ipo pale kuzuia abuse...; Na inaweza ikatumiwa na Mwanaume pia kama scenarios zimebadilika na Mwanamke ndio Bread Winner....
 
Tunazunguka kuongelea vitu minor badala ya kuongelea mzizi wa mjadala (mimi nachokielewa au kudhani ninakielewa sio necessarily kwamba ni kweli au kile unachokielewa wewe) hence kabla hatujaongelea kubadilisha nachokielewe mimi lazima nifahamu kama ninachodhani mimi ndicho unachodhani wewe...; hence kama tupo kwenye same page tunaweza kwenda kwenye mjadala zaidi.....

Sheria iliwekwa ili mwanamke asiwe abused; kwenye Ulimwengu wa Mwanaume ambao upo intertwined kwenye Imani za watu atleast Mke (hapa keyword ni Mke) ambaye Jamii inaona ni Jukumu lake kumuhudumia mme wake kwa wellbeing yake (kutayarisha kitoweo n.k.) basi huyu so called mume na yeye ahakikishe huyu so called mke wake asikose Malazi; Mavazi na Chakula....

Sasa basi uzuri wa Sheria kabla ya Penalty kuna watu wanaoangalia Scenario..., Je huyu mtu ana-lack hivyo vitu au anaweza kujipatia mwenyewe ? Je ni sacrifice ngapi amefanya career-wise...; Je sababu huyu Mume hakuna anachompatia zaidi ya kuja kulala mara moja kwa wiki.., huyu mama akitaka kumtaliki je anaweza kutoa hii sababu... (ukizingatia katika Sheria zetu nyingine za nchi mwanaume anaweza kuoa wake hata wanne wakati mwanamke hawezi kufanya hivyo)

In conclusion Sheria hii ipo pale kuzuia abuse...; Na inaweza ikatumiwa na Mwanaume pia kama scenarios zimebadilika na Mwanamke ndio Bread Winner....

Kwa hiyo sheria inayozuia abuse Kwa Mwanamke imelenga kufanya abuse Kwa Mwanaume?
Ndio nikakuambia kuwa kwa sasa hizo sheria zimepitwa na wakati na maelezo nimeshaeleza kwenye post.

Kwanza umesoma nilichoandika kwenye post?
Kama jibu ni ndio, embu niambie nini ujumbe wa andiko hili?
 
Kwa hiyo sheria inayozuia abuse Kwa Mwanamke imelenga kufanya abuse Kwa Mwanaume?
Ndio nikakuambia kuwa kwa sasa hizo sheria zimepitwa na wakati na maelezo nimeshaeleza kwenye post.
Hapo mwanaume amefanyiwa abuse wapi ? Nimekwambia Sheria hio inaweza kutumika kumlinda yoyote hata mwanaume kama Bread Winner ni Mwanamke.., Pia inatoa loophole kwa Mwanamke kuweza kutoka kwenye Uke Wenza (Ukizingatia kama Mwanaume anaweza akawa na wake zaidi ya mmoja) anaweza akatumia kigezo cha kuoa mtaa mzima Bila kujali wellbeing yao (Jambo ambalo mwanamke hawezi kufanya)
Kwanza umesoma nilichoandika kwenye post?
Kama jibu ni ndio, embu niambie nini ujumbe wa andiko hili?
Ujumbe hilo ni suala lako binafsi wala Mimi nilichojibu ni Sheria (IPI na WAPI) na kama inaweza (KUFUTWA KUBADILISHWA) na TIJA au kutokuwepo na TIJA kwa kufanya hivyo hayo mambo ya Ujumbe inawezekana umefanya kutoa burudani (hilo ni subjective na beyond my powers to debate)..., Na uzuri wa Open Forum kama hii unaweza kuamua kujadili au kuongelea Nukta iliyopo kwenye sentensi..., (Na ikawa constructive so long as ipo within the premise ya kinachoongelewa)
 
Hapo mwanaume amefanyiwa abuse wapi ? Nimekwambia Sheria hio inaweza kutumika kumlinda yoyote hata mwanaume kama Bread Winner ni Mwanamke.., Pia inatoa loophole kwa Mwanamke kuweza kutoka kwenye Uke Wenza (Ukizingatia kama Mwanaume anaweza akawa na wake zaidi ya mmoja) anaweza akatumia kigezo cha kuoa mtaa mzima Bila kujali wellbeing yao (Jambo ambalo mwanamke hawezi kufanya)

Ujumbe hilo ni suala lako binafsi wala Mimi nilichojibu ni Sheria (IPI na WAPI) na kama inaweza (KUFUTWA KUBADILISHWA) na TIJA au kutokuwepo na TIJA kwa kufanya hivyo hayo mambo ya Ujumbe inawezekana umefanya kutoa burudani (hilo ni subjective na beyond my powers to debate)..., Na uzuri wa Open Forum kama hii unaweza kuamua kujadili au kuongelea Nukta iliyopo kwenye sentensi..., (Na ikawa constructive so long as ipo within the premise ya kinachoongelewa)

Maelezo yako ni mazuri kama yangetumika kwenye mada nyingine inayoendana na unachokijadili.
Lakini kwa mada hii maelezo yako hayana maana yoyôte na ni nje ya mada kabisa.

Sijui kama unajua uzi huu unahusu nini?

Yaani ni ile unajadili chochote kinachokuja kwenye akili yako pasipo kuangalia ujumbe wa uzi unasema nini?

Hiyo ndio tunaita kuchochora.
 
Maelezo yako ni mazuri kama yangetumika kwenye mada nyingine inayoendana na unachokijadili.
Lakini kwa mada hii maelezo yako hayana maana yoyôte na ni nje ya mada kabisa.

Sijui kama unajua uzi huu unahusu nini?

Yaani ni ile unajadili chochote kinachokuja kwenye akili yako pasipo kuangalia ujumbe wa uzi unasema nini?

Hiyo ndio tunaita kuchochora.
Ungekuwa wewe ndio JF au hio ipo kwenye JF Rules kwamba mtu anachagua nani wa kuchangia kilichoadikwa ingekuwa sawa...;

Umeongelea Sheria Kumuhudumia Mwanamke ifutwe sababu ajira zinatoka kwa wote.... Ili mimi nisiendelee kujadili ambacho hakipo kwenye akili yako (nikakuuliza mwanzo kabisa kuhusu hio Sheria IPI na Wapi ) na nikaenda hatua mbele zaidi ya kukuuliza wewe kwa akili yako Sheria ni Nini....

Cha ajabu wewe ukaanza kuongelea mambo ambayo hayapo kwenye Hoja yako (utoto, sijui sekondari, Chuo au wewe mtu mzima umetoka Chuo zamani)...

Sikukata tamaa nikakuuliza Je unaongelea Sheria hii ya Ndoa... baada ya kuona huenda ndio hicho unachoongelea nikakupa context ya In my Humble Opinion kwanini Sheria hio ina Mashiko.... Lakini naona tunarudi palepale tulipoanzia sijui nyie mnaita kuchochora (nyie kina nani and from your own definition nani anachochora katika majibizano yangu na yako) ?
 
Ungekuwa wewe ndio JF au hio ipo kwenye JF Rules kwamba mtu anachagua nani wa kuchangia kilichoadikwa ingekuwa sawa...;

Umeongelea Sheria Kumuhudumia Mwanamke ifutwe sababu ajira zinatoka kwa wote.... Ili mimi nisiendelee kujadili ambacho hakipo kwenye akili yako (nikakuuliza mwanzo kabisa kuhusu hio Sheria IPI na Wapi ) na nikaenda hatua mbele zaidi ya kukuuliza wewe kwa akili yako Sheria ni Nini....

Cha ajabu wewe ukaanza kuongelea mambo ambayo hayapo kwenye Hoja yako (utoto, sijui sekondari, Chuo au wewe mtu mzima umetoka Chuo zamani)...

Sikukata tamaa nikakuuliza Je unaongelea Sheria hii ya Ndoa... baada ya kuona huenda ndio hicho unachoongelea nikakupa context ya In my Humble Opinion kwanini Sheria hio ina Mashiko.... Lakini naona tunarudi palepale tulipoanzia sijui nyie mnaita kuchochora (nyie kina nani and from your own definition nani anachochora katika majibizano yangu na yako) ?

Ungesoma bandiko ungeelewa kuwa nilisema kuwa sheria hiyo ilikuwa ya maana lakini ni wakati wa zamani ambapo wanawake walikuwa hawapewi fursa sawa na sisi Wanaume. Lakini kwa sasa hiyo sheria haina maana/mashiko.

Sasa wewe unatoa maelezo marefu ambayo kwa aliyesoma uzi wote nimeshaeleza yote humo.

Ukijadili na mimi lazima utumie zaidi akili yako kuliko kutumia akili ya wenzako(uliyokariri darasani) hapo ndipo wasomi wengi mnapodharaulika.
Sasa kweli mtu mzima umuulize sheria ni nini?

Jifunze kutumia akili yako kuliko ya kukariri ndio tutaelewana, na utaacha kuuliza maswali kama iliyokuwa ukiuulizwa na waalimu wako shuleni
 
"Mwanamke akifanya kazi alafu anataka kuhudumiwa tuu yaani hela yako anaikodolea macho fukuza. Usiwe mjinga. Huo ni ubinafsi."

NAKAZIAAA!
 
Ungesoma bandiko ungeelewa kuwa nilisema kuwa sheria hiyo ilikuwa ya maana lakini ni wakati wa zamani ambapo wanawake walikuwa hawapewi fursa sawa na sisi Wanaume. Lakini kwa sasa hiyo sheria haina maana/mashiko.
Na wewe ungesoma majibu niliyokupa ungeona kwamba Sheria hio bado ina mashiko sababu hata kama imesema mwanamke hata mwanaume inahusika anaweza kutumia same argument kama bread winner ni mwanamke..., vile vile unaongelea mwanamke anapewa fursa sawa na mwanaume ? Umeangalia upande wa wake wenza kama mwanamke anaruhusiwa kisheria / kiimani kuwa na wanaume zaidi ya mmoja ? Kama sivyo ni kipi kinamfunga mwanaume kuwa na wanawake lukuki bila kuwahudumia kwa basic needs ?
Sasa wewe unatoa maelezo marefu ambayo kwa aliyesoma uzi wote nimeshaeleza yote humo.
Ungeeleza ningeuliza ? Kwanza its not even practically possible kueleza kila kitu humo
Ukijadili na mimi lazima utumie zaidi akili yako kuliko kutumia akili ya wenzako(uliyokariri darasani) hapo ndipo wasomi wengi mnapodharaulika.
Haya sasa assumptions nyingine aliyekwambia mimi msomi ni nani au msomi ni nini ?; Kama msomi ni mtu anayesoma basi mimi ndio nasoma ila kusoma kwangu inawezekana sijawahi kuingia darasa hata moja na ni self taught (ingawa this is neither here nor there sababu mimi as an individual au wewe sidhani kama ina mashiko katika mjadala wa hii so called sheria (kama tunaongelea kitu kilekile) kama imepitwa na wakati au hapana... Na kwa kusema hivyo ndio maana swali langu la mwanzo kabisa lilikuwa na maana (Sheria IPI / WAPI) as kama muhusika ni Muislamu au mtu wa Imani fulani huenda hii kitu ipo intertwined kwenye Imani yake (Hence kitu hiki kwake hakiwezi kupitwa na wakati) sababu penalty yake ni ya kumkosea Muumba wake...
Sasa kweli mtu mzima umuulize sheria ni nini?
Nadhani mtu ambaye alitaka kutoka nje ya mada na kuongelea kitu ambacho kingelenga mada muja kwa moja angefanya hivyo (na nimekuwa proven right kutona na hizi to and fro ambazo hazina tija)
Jifunze kutumia akili yako kuliko ya kukariri ndio tutaelewana, na utaacha kuuliza maswali kama iliyokuwa ukiuulizwa na waalimu wako shuleni
Jifunze kutokuwa na inferiority complex mtu anapokuuliza sio kwamba anaku-challenge kama haujui bali huenda anataka kuuliza kama unachoongelea wewe ndio anchoongelea yeye fungua dictionary yoyote andika neno lolote alafu uone kuna definitions ngapi....

Na unapoweka andiko fahamu kwamba watu wana-challenge ulichoandika wewe kama wewe au wewe binafsi ni immaterial kwenye mjadala (as far as I see things anyway)....
 
Na wewe ungesoma majibu niliyokupa ungeona kwamba Sheria hio bado ina mashiko sababu hata kama imesema mwanamke hata mwanaume inahusika anaweza kutumia same argument kama bread winner ni mwanamke..., vile vile unaongelea mwanamke anapewa fursa sawa na mwanaume ? Umeangalia upande wa wake wenza kama mwanamke anaruhusiwa kisheria / kiimani kuwa na wanaume zaidi ya mmoja ? Kama sivyo ni kipi kinamfunga mwanaume kuwa na wanawake lukuki bila kuwahudumia kwa basic needs ?

Ungeeleza ningeuliza ? Kwanza its not even practically possible kueleza kila kitu humo

Haya sasa assumptions nyingine aliyekwambia mimi msomi ni nani au msomi ni nini ?; Kama msomi ni mtu anayesoma basi mimi ndio nasoma ila kusoma kwangu inawezekana sijawahi kuingia darasa hata moja na ni self taught (ingawa this is neither here nor there sababu mimi as an individual au wewe sidhani kama ina mashiko katika mjadala wa hii so called sheria (kama tunaongelea kitu kilekile) kama imepitwa na wakati au hapana... Na kwa kusema hivyo ndio maana swali langu la mwanzo kabisa lilikuwa na maana (Sheria IPI / WAPI) as kama muhusika ni Muislamu au mtu wa Imani fulani huenda hii kitu ipo intertwined kwenye Imani yake (Hence kitu hiki kwake hakiwezi kupitwa na wakati) sababu penalty yake ni ya kumkosea Muumba wake...

Nadhani mtu ambaye alitaka kutoka nje ya mada na kuongelea kitu ambacho kingelenga mada muja kwa moja angefanya hivyo (na nimekuwa proven right kutona na hizi to and fro ambazo hazina tija)

Jifunze kutokuwa na inferiority complex mtu anapokuuliza sio kwamba anaku-challenge kama haujui bali huenda anataka kuuliza kama unachoongelea wewe ndio anchoongelea yeye fungua dictionary yoyote andika neno lolote alafu uone kuna definitions ngapi....

Na unapoweka andiko fahamu kwamba watu wana-challenge ulichoandika wewe kama wewe au wewe binafsi ni immaterial kwenye mjadala (as far as I see things anyway)....

Hakuna Mwanamke anayelazimishwa kuwa mke Mwenza.
Na wewe ungesoma majibu niliyokupa ungeona kwamba Sheria hio bado ina mashiko sababu hata kama imesema mwanamke hata mwanaume inahusika anaweza kutumia same argument kama bread winner ni mwanamke..., vile vile unaongelea mwanamke anapewa fursa sawa na mwanaume ? Umeangalia upande wa wake wenza kama mwanamke anaruhusiwa kisheria / kiimani kuwa na wanaume zaidi ya mmoja ? Kama sivyo ni kipi kinamfunga mwanaume kuwa na wanawake lukuki bila kuwahudumia kwa basic needs ?

Ungeeleza ningeuliza ? Kwanza its not even practically possible kueleza kila kitu humo

Haya sasa assumptions nyingine aliyekwambia mimi msomi ni nani au msomi ni nini ?; Kama msomi ni mtu anayesoma basi mimi ndio nasoma ila kusoma kwangu inawezekana sijawahi kuingia darasa hata moja na ni self taught (ingawa this is neither here nor there sababu mimi as an individual au wewe sidhani kama ina mashiko katika mjadala wa hii so called sheria (kama tunaongelea kitu kilekile) kama imepitwa na wakati au hapana... Na kwa kusema hivyo ndio maana swali langu la mwanzo kabisa lilikuwa na maana (Sheria IPI / WAPI) as kama muhusika ni Muislamu au mtu wa Imani fulani huenda hii kitu ipo intertwined kwenye Imani yake (Hence kitu hiki kwake hakiwezi kupitwa na wakati) sababu penalty yake ni ya kumkosea Muumba wake...

Nadhani mtu ambaye alitaka kutoka nje ya mada na kuongelea kitu ambacho kingelenga mada muja kwa moja angefanya hivyo (na nimekuwa proven right kutona na hizi to and fro ambazo hazina tija)

Jifunze kutokuwa na inferiority complex mtu anapokuuliza sio kwamba anaku-challenge kama haujui bali huenda anataka kuuliza kama unachoongelea wewe ndio anchoongelea yeye fungua dictionary yoyote andika neno lolote alafu uone kuna definitions ngapi....

Na unapoweka andiko fahamu kwamba watu wana-challenge ulichoandika wewe kama wewe au wewe binafsi ni immaterial kwenye mjadala (as far as I see things anyway)....

😃😃😃

Kazi ipo
 
SHERIA YA KUMHUDUMIA MWANAMKE IFUTWE, KWA SASA AJIRA ZINATOLEWA KWA WOTE BILA UPENDELEO.

Anàandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Sheria ya Mwanaume kumhudumia Mwanamke ifutwe. Sheria ya mke kuchukua mkopo kwa Jina la mumewe nayo ifutwe. Ni sheria zilizopitwa na wakati na zisizoendana na ulimwengu wa sasa.

Ni sheria kandamizi, zinazomkandamiza Mwanaume.
Kwa zamani zilikuwa sheria nzuri lakini sio sasa. Zilikuwa nzuri kwa sababu Wanaume walipewa fursa zaidi kuliko wanawake.
Wanaume walipewa fursa ya kumiliki Mali huku wanawake walikatazwa.

Wanaume walipewa fursa ya kusoma na kutafuta elimu huku wanawake wakiachwa nyuma.
Wanaume walipewa fursa ya kutafuta kazi na kufanya shughuli za uzalishaji huku wanawake wakibaguliwa.

Ndio maana sheria ya kumhudumia Mwanamke ilikuwa ya maana na tunaweza kuiita sheria ya haki kama Watibeli tupendavyo Haki

Lakini siku hizi Kila mtu anahaki. Haki sawa baina ya jinsia zimeboreshwa na kulinganishwa.
Ikiwa ni hivyo basi na wajibu lazima uboreshwe.

Isiwe wajibu kwa mwanaume kumhudumia Mwanamke katika ulimwengu wa haki Sawa.

Vijana, sio wajibu wako kumhudumia Mwanamke katika ulimwengu huu wa haki sawa. Ndio maana dunia ya sasa imetoa usawa wa kifursa.

Mwanamke afanye kazi na wewe ufanye kazi. Wote mlete mezani. Hiyo ni Haki.

Mwanamke akifanya kazi alafu anataka kuhudumiwa tuu yaani hela yako anaikodolea macho fukuza. Usiwe mjinga. Huo ni ubinafsi.

Mwanamke ambaye atakuambia pesa ya Mwanamke hailiwi wakati unamuita sijui mpenzi, sijui mkeo, huyo ni tapeli, nyonyaji. Huyo hakufai. Piga chini wala usisite mara mbili mbili.

Ndoa za kitapeli, mahusiano ya kibeberu na kikoloni. Unakuta mwanaume mzima kumbe ni koloni la mtu. Unanyonywa kama mwendawazimu. Alafu miaka 45 hii hapa kisukari, presha, mara Stroke unaacha mke Watu tunapiga. Shauri yako. Usijesema sijakuambia.

Alafu kwa ujinga wenu mnauliza maswali ya kijinga, ooh! Mbona wanaume wanawajibika kufa mapema kabla ya Wake zao. Hivi utaachaje kufa mapema ikiwa wewe umegeuzwa kisukule, kuzuka. Mbona kwetu Babu zetu wamepiga age ya kutosha. Tumieni akili. Jinga kabisa.

Usiendekeza ujinga. Mimi nimemaliza. Mwenye hasira za karibu aje tupigane.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
...Una Pointi ! [emoji106]...

Sent from my TECNO BD4j using JamiiForums mobile app
 
Am Wisest Man Alive.. for I know One thing and that is I Know Nothing..., Unadhani unajua wala kumbe hujui hata unachokiongea.., Ni sawasawa unaita Pipa Kikombe unaulizwa pipa ni nini ili kuongelea hilo Pipa lako alafu unaleta story kwamba wewe sio mtoto... Kwahio Hii mada imekuja na Parental Control au Elimu fulani kwamba ukiwa haujamaliza Chuo wala Sekondari huwezi kujadili...

Yaani kwa busara zako sasa hivi tunaongelea utoto wangu na sio mada uliyoleta hapo mwanzo ?, Hii kwa ufupi inaitwa Hubris.... and we that one can never grow....
Wanaume wanapoongea ni busara ukakaa kimya

Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
 
Mimi kama tunachangia Hela nusu kwa nusu kwenye kila kitu sikufulii sikupikii sijui kukuandaa kazini Wala sikuombi ruhusa ya kitu chochote sifa Yako kama mwanaume umeshapoteza mwanaume anatakiwa atoe zaidi hiyo ni nature
50/50 unaiunga mkono?
 
Ndio maana uliambiwa ishi nao kwa akili, sheria waachie tuu, kama hutumii hela ya mwanamke wako trust me kuna mwamba anakula katulia tuu mahali, ndio maana hela zao hazionekani, mimi mke wangu ananidai mamilioni ya shughuli za familia yetu, iyo siku akaniambia utanilipa kweli hizi hela zangu nazotoa, nikamjibu JIONGEZE, aksema ndio mwisho kutoa.

Ila haikuwa mwisho 😂
 
Back
Top Bottom