Uchaguzi 2020 Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma No.13 ya mwaka 1995 inambana Lissu kuwa mgombea

Uchaguzi 2020 Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma No.13 ya mwaka 1995 inambana Lissu kuwa mgombea

Kaisome hiyo sheria. Ndiyo maana mawakili wake walienda mahakama kuu wakashindwa. Hivyo adhabu aliyopewa ni halali.
Makosa yalikuwa mawili kwa mujibu wa Spika utoro na hilo la kukiuka sheria ya maadili.
 
Kaisome tu hiyo sheria ili utoke gizani.

Unajua kwanini tunakupa za uso tu tena kwa sentensi fupi fupi?....

Ni kwa sababu hizi;

å Mada yako HAINA AKILI Dr Akili na kwa hiyo haijadiliki...!

å Cha ajabu na wewe usivyokuwa Dr Akili kweli, umeunga mkumbo wa malumbano badala utetee ulichoposti...!

å Huwezi kutetea lolote kwa sababu wewe mwenyewe hujui wala kutambua umeposti nini. Hata hiyo sheria I am sure kabisa kuwa wala hata hujui jinsi inavyoweza kumtia mtu hatiani ...!

Kama unabisha wewe jifanye kufanya uchambuzi wa kisomi Dr Akili. Acha maneno ya kwenye khanga za Kitchen Party....

Onesha kuwa wewe ni Dr Akili kweli na siyo Dr Love. Weka hapa hiyo sheria, ichambue na kisha sema ni kwa vipi inamzuia Rais wetu wa JMT - TL kuingia Ikulu...

Lakini ulichofanya wewe, ni kufungulia mlango wa matusi kukuelekea...
 
Makosa yalikuwa mawili kwa mujibu wa Spika utoro na hilo la kukiuka sheria ya maadili.
Kubwa ni hilo la kukiuka sheria ya maadili ya viongozi wa umma. Hilo la utoro ni dogo sana na halingemzuia kugombea tena.
 
Makosa yalikuwa mawili kwa mujibu wa Spika utoro na hilo la kukiuka sheria ya maadili.
Sheria ya maadili ukiukwaji lazima uthibitishwe na mahakama.mahakama haijawahi kuthibitisha hilo
 
Tundu Lissu alipoteza ubunge wake kwa kosa la kukiuka sheria ya maadili ya viongozi wa umma No.13 ya mwaka 1995.

Wanasheria wake walifungua kesi mahakama kuu kupinga adhabu hiyo lakini wakashindwa kesi.

Kwa hiyo kwa mjibu wa sheria hiyo Tundu Lissu haruhusiwi kugombea ubunge wala urais hadi miaka 5 ipite baada ya uamuzi huo. Huu ndiyo ukweli labda kama nia ni kutafuta tu kiki za kisiasa.
Mwanangu kunywa maji kwanza.
 
Kubwa ni hilo la kukiuka sheria ya maadili ya viongozi wa umma. Hilo la utoro ni dogo sana na halingemzuia kugombea tena.
Ina maana mahakama ikisema kuwa kuruhusu Tundu Lissu kufungua kesi ya kupinga kufutwa ubunge italeta mgogoro wa kikatiba ndo inakuwa imehalalisha kuwa alikiuka sheria ya maadili ya utumishi wa umma? Mimi ni layman tu ndo maana nauliza maswali ili nielewe zaidi.
 
Tundu Lissu alipoteza ubunge wake kwa kosa la kukiuka sheria ya maadili ya viongozi wa umma No.13 ya mwaka 1995.

Wanasheria wake walifungua kesi mahakama kuu kupinga adhabu hiyo lakini wakashindwa kesi.

Kwa hiyo kwa mjibu wa sheria hiyo Tundu Lissu haruhusiwi kugombea ubunge wala urais hadi miaka 5 ipite baada ya uamuzi huo. Huu ndiyo ukweli labda kama nia ni kutafuta tu kiki za kisiasa.
Taburarasa
 
Tundu Lissu alipoteza ubunge wake kwa kosa la kukiuka sheria ya maadili ya viongozi wa umma No.13 ya mwaka 1995.

Wanasheria wake walifungua kesi mahakama kuu kupinga adhabu hiyo lakini wakashindwa kesi.

Kwa hiyo kwa mjibu wa sheria hiyo Tundu Lissu haruhusiwi kugombea ubunge wala urais hadi miaka 5 ipite baada ya uamuzi huo. Huu ndiyo ukweli labda kama nia ni kutafuta tu kiki za kisiasa.

Wengine ni wana uchumi, tunaomba wanasheria mliopo humu mtusaidie kulifafanua hili suala, hii ni kweli au propaganda. Asanteni
 
Ina maana mahakama ikisema kuwa kuruhusu Tundu Lissu kufungua kesi ya kupinga kufutwa ubunge italeta mgogoro wa kikatiba ndo inakuwa imehalalisha kuwa alikiuka sheria ya maadili ya utumishi wa umma? Mimi ni layman tu ndo maana nauliza maswali ili nielewe zaidi.
Ndiyo hivyo.
 
Mimi nataka Lissu agombee na apewe kabisa kura milioni mbili za kuanzia na Tume Huru ya Uchaguzi ili baaadae aje aijue nguvu ya JPM kwa wananchi na wapiga kura.
 
Back
Top Bottom