Uchaguzi 2020 Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma No.13 ya mwaka 1995 inambana Lissu kuwa mgombea

Uchaguzi 2020 Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma No.13 ya mwaka 1995 inambana Lissu kuwa mgombea

Si sawa,umekosea kwa sababu
1.katiba imetoa mamlaka kwa baraza la maadili ya viongozi wa umma tu,kama chombo pekee cha kusimamia sheria ya maadili ya viongozi wa umma,na hivyo basi palitakiwa kuwa na hukumu kutoka kwenye baraza la maadili ya viongozi wa umma (hukumu iliyomtia hatiani).
2.spika kakosea kufanya maamuzi alitakiwa apeleke kesi hiyo kwenye baraza la maadili ya viongozi wa umma yy akaamua mwenyewe
3.maamuzi yote ni batili
Hivi kweli tangia hii Sheria ianzishwe hakuna MTU amewahi kuivunja?..na kama yupo..Baraza Lili handle vipi situation. Na kama hamna basi niwape heko watumishi wa umma Kwa kutii Sheria bila shuruti Kwa asilimia 💯
 
[QUO2TE="Dr Akili, post: 36211756, member: 52338"]
Tundu Lissu alipoteza ubunge wake kwa kosa la kukiuka Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma No.13 ya mwaka 1995.

Wanasheria wake walifungua kesi mahakama kuu kupinga adhabu hiyo lakini wakashindwa kesi.

Kwa hiyo kwa mjibu wa sheria hiyo Tundu Lissu haruhusiwi kugombea ubunge wala urais hadi miaka 5 ipite baada ya uamuzi huo. Huu ndiyo ukweli labda kama nia ni kutafuta tu kiki za kisiasa.
[/QUOTE]


Kwani mwanasheria wa tcra anaruhusiwa kuwania nafasi ya ubunge?
 
Si sawa,umekosea kwa sababu
1.katiba imetoa mamlaka kwa baraza la maadili ya viongozi wa umma tu,kama chombo pekee cha kusimamia sheria ya maadili ya viongozi wa umma,na hivyo basi palitakiwa kuwa na hukumu kutoka kwenye baraza la maadili ya viongozi wa umma (hukumu iliyomtia hatiani).
2.spika kakosea kufanya maamuzi alitakiwa apeleke kesi hiyo kwenye baraza la maadili ya viongozi wa umma yy akaamua mwenyewe
3.maamuzi yote ni batili
Nimeandika pale juu kuwa kama akina Akili ndio wanasheria/mawakili wetu, basi hatuna watu! ! Dr Akili , sikutaka kufafanua maana nimechoka mbaya ba presentation yake!
 
Back
Top Bottom