wao waweke sheria zao,sisi tutazivunja tu,nasema barazani kweupee.ngoja niweke bajeti,nanunua laptop maalum,natengeneza kitambulisho maalum,naenda kusajili simcard malum,nanunua modem maalum,nafungua account maalum,na ID nyengine maalum kwa ajili ya kuwalipua mafisadi,na hivyo vitu sivitumii kwa matumizi mengine yoyote zaidi ya hiyo ID maalum,na wala sitaitumia hiyo ID nikiwa na vifaa vyangu vya kawaida.Mumenisikia nyie sijui TRA sijui TCRA sijui nini!mtatafuta kerubi hadi musinzie kwene keyboard,you'll meet with ghosts,na wewe mod wakikuomba IP yangu wape tu,wala usiumize kichwa,tena wape huku umebanwa na kicheko,nyambaf!wanatutafuta kidijitali,tutajificha kianalojia,tuone kipi ni more secure.