Ukiishi na mke kwa zaid ya miaka miwili bila kufunga ndoa ,kisheria hiyo inahesabka km ndoa.
Hata km mke anaamua kuondoka bado sheria ya ndoa haimpi fursa ya kubeba kila kitu, labda km alipata kabla ya ndoa au anavimiliki yeye. Kumchukua mke wa mtu ni kosa,unaweza kumshitaki na ukaombwa kulipwa fidia.
Hata km mke anaamua kuondoka bado sheria ya ndoa haimpi fursa ya kubeba kila kitu, labda km alipata kabla ya ndoa au anavimiliki yeye. Kumchukua mke wa mtu ni kosa,unaweza kumshitaki na ukaombwa kulipwa fidia.