Ukiishi na mke kwa zaid ya miaka miwili bila kufunga ndoa ,kisheria hiyo inahesabka km ndoa.
Hata km mke anaamua kuondoka bado sheria ya ndoa haimpi fursa ya kubeba kila kitu,labda km alipata kabla ya ndoa au anavimiliki yeye.
Kumchukua mke wa mtu ni kosa,unaweza kumshitaki na ukaombwa kulipwa fidia.
ok ni kifungu gani cha sheria kinacho sema hivyo maana nayasikia sikia tu na wanaosema hivyo hawatoi vifungu vya sheria
ikikumbukwe kwamba kifungu hiki kimeekwa kumlinda mwanamke...! Kwake ye inatumika kama ngao kwake katka mgawanyo wa mali na wewe..na sio kumpa nguvu ya kuamua atakavyo! Kuhusu Mgawanyo wa mali.
Mimi nilikuwa na mwanamke naishi naye nimeishi naye kwa zaidi ya miaka minne sikuwahi kufunga naye ndoa wala sikumtolea mahali,nimezaa naye watoto wawili sasa tumehitilafiana naye akabeba kila kitu ndani mwangu akaondoka navyo pamja na watoto na kuhamia kwa mwanamme mwingine.vitu wanavyotumia nivya kwangu je?nina haki ya kwenda kumyangaya vile vitu?naomba msaada wa kisheria kifungu kwa kifungu
Ukiishi na mke kwa zaid ya miaka miwili bila kufunga ndoa ,kisheria hiyo inahesabka km ndoa.
Hata km mke anaamua kuondoka bado sheria ya ndoa haimpi fursa ya kubeba kila kitu,labda km alipata kabla ya ndoa au anavimiliki yeye.
Kumchukua mke wa mtu ni kosa,unaweza kumshitaki na ukaombwa kulipwa fidia.
Ukiishi na mke kwa zaid ya miaka miwili bila kufunga ndoa ,kisheria hiyo inahesabka km ndoa.
Hata km mke anaamua kuondoka bado sheria ya ndoa haimpi fursa ya kubeba kila kitu,labda km alipata kabla ya ndoa au anavimiliki yeye.
Kumchukua mke wa mtu ni kosa,unaweza kumshitaki na ukaombwa kulipwa fidia.
Inakuwaje anakuwa na
ujasiri wa kubeba na watoto kwenda ishi nao kwa mume mwingine, na huyo
mume mwingine anakuwaje na ujasiri wa kulea watoto wa mtu mwingine?
chunga mjomba vinasaba
vinasemaje?
Angekuwa yeye ndio kapeleka watoto wakalelewe na mama wa kambo vinasaba vingeuliziwa?
Ujue ndoa za kikristo kimsingi hazivunjwi, ni mpaka kifo kiwatenganishe wanandoa. Nadhani inategemea pia umefunga ndoa ya kikristo ktk madhehebu gani. Kuna madhehebu ambayo kukiwa na matatizo fulani mazito ktk ndoa, yanaweza "kuivunja" ndoa hiyo na kukupa nafasi ya kufunga. Lakini kuna madhehebu ambayo nafasi hiyo ni finyu mno-mno.
Kwa nini unataka ivunjwe?Jee, ni taratibu zipi za kufuata ili mwanandoa aliyefunga ndoa ya Kikristo kanisani aweze kuivunja ndoa hiyo kimahakama au kisheria?
Wataalamu wa Sheria tafadhali naomba mnifahamishe. Natanguliza shukrani.