ThaGreatman
JF-Expert Member
- Sep 11, 2018
- 708
- 1,465
Kwa hiyo principles of law zinatupiliwa mbali?Unauliza ' Bangi ' Arumeru?
Maana principle za kisheria ni kwamba sheria huwa inaanza kufanya kazi mara baada ya kusainiwa na Mh.Rais,sasa hii itakayorudi nyuma ili kutekeleza malengo ya baadhi ya watu itakuwa sheria ya aina gani?