Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gari za uhasibu au?Leo tumeamka na siku mpya huku Kigamboni daladala zimegoma ni mwendo wa Bajaj kila kituo buku mpaka buku mbili.
Sijui wenzetu huko mlipo hali ikoje.
😆😆Sisi ziligoma jana.. jioni wakaanza kuruhusu
Nauli jero… tulishazoea 400 unabakiwa na mia ya kula pipi kali 🤣🤣
Leo zipo ila ndio nauli mia 5 🤣🤣😆😆
Leo wameachia au bado wamegoma?
Tukaze mwendo nchi nzima izizime tumechoka.Leo tumeamka na siku mpya huku Kigamboni daladala zimegoma ni mwendo wa Bajaj kila kituo buku mpaka buku mbili.
Sijui wenzetu huko mlipo hali ikoje.
Wapi hukoSisi ziligoma jana.. jioni wakaanza kuruhusu
Nauli jero… tulishazoea 400 unabakiwa na mia ya kula pipi kali [emoji1787][emoji1787]
Kwa hesabu ya haraka, tafsiri ya haraka huko kwenu wamepandisha 25%Sisi ziligoma jana.. jioni wakaanza kuruhusu
Nauli jero… tulishazoea 400 unabakiwa na mia ya kula pipi kali 🤣🤣
ArushaWapi huko
Na hizo bus za Arusha to DarKwa hesabu ya haraka, tafsiri ya haraka huko kwenu wamepandisha 25%
Ila si tulikubaliana humu kila mtu ni tajiri ana majumba na magari ya maana, sasa haya malalamiko ya nauli sjui daladala yanatoka wapi jaman🤣🤣Leo zipo ila ndio nauli mia 5 🤣🤣
Ila si tulikubaliana humu kila mtu ni tajiri ana majumba na magari ya maana, sasa haya malalamiko ya nauli sjui daladala yanatoka wapi jaman[emoji1787][emoji1787]
Zinatoa sugu za matako hizo baiskel asee kiti chake kigumu dahnunueni baiskeli muache kulalamika ten phonex
😂😂😂😂😂😂 tunakuwaga matajiri kutegemeana na uzi UnasemajeIla si tulikubaliana humu kila mtu ni tajiri ana majumba na magari ya maana, sasa haya malalamiko ya nauli sjui daladala yanatoka wapi jaman🤣🤣