Shilole aamua kuonyesha minyonyo Ubelgiji

Hivi wakati anatoka alikuwa hajioni? Mbona anaonekana mchafu? Shilole utabadilika lini!
 

Attachments

  • 1431366429598.jpg
    45.4 KB · Views: 3,851

Mh! Makubwa madogo yananafuu!
 

Unamuonea wivu sana Shilole
 
kwiii kwiii kwiii kwiii...!!! eti NGONO MOVIE
 

please nifah usije huku utaniona bure...
 
Last edited by a moderator:
Mahojiano yako hivi:

Nuhu:-Baby unaona watu kwenye mitandao jinsi wanavyolalamikia picha,ilikuwaje ukaruhusu picha ipigwe?

Shilole:Wewe waache wangapi wamepiga picha na sehem zao za siri ziko wazi na waliseema mwisho wakaacha,we waachae

Nuhu: Sasa mie nyumbani ndugu zangu akiwemo,mama na baba wanasema sio vizuri tunawatia aibu,

Shilole:Koma we,kwani uliponitaka uliwaambia,waambie wasiingie kwenye mitandao kwa muda wa mwaka mmoja.
Halafu Baby nimekumbuka,we acha nikitoka napitia Dubai,nawaletea zawadi nyingi sana,halafu waambie niliweshwa kwa bahati mbaya.naamini watanielewa,au unasemaj

Nuhu:Kweli hilo nalo wazo zuri Baby,lakini sasa Mungu tunamuambiaje

Shilole:Mungu niachie mie mwenyewe nitaongeanae,nikija mwezi mzima naenda nyumba za Ibada tena nakaa mbele ili Mungu anione vizuri.

Nuhu: Sawa,lakini pia huoni kama watoto wakikuwa wataziona hizi picha,na zitawaathiri kisaikolojia

Shilole:We shenzi nini?hao watoto wenyewe kila mmoja na baba yake.We unaona kuna salama hapo?Nasubiri tu huyo mmoja utamfundisha kuimba na huyo mwingine nitamfundisha kukatikia wanaume.Kazi kwisha.

Nuhu:Sawa baby nimekuelewa,halafu vipi mie na wewe lini sasa tutapata mtoto wetu

Shilole:-Nimekuambia subiria kwanza,we unaona huku ndio natafuta pesa na ninatukanwa ili tupate kula,sasa mie nikikaa ndani na mimba na wewe na kisingo chako kimoja hicho cha Mdondo Ngoma kilichokutoa unafikiria kuna maisha hapo.

Nuhu:Sawa Baby angalua hapo umenifariji,maana huku naonekana kituko sana kwa wenzangu,na ukizingatia kuna wasanii wengine ulikuwanao kimapenzi basi wananichora tu.

Shilole:Achana nao,wote hao mambo hawayawezi wewe ndio kiboko na ndio maana nimeganda kwako Baby wangu

Nuhu:Hahaha,kweli Baby,hahahah asante,namie nilishangaa mrembo kama wewe kunikubali,hahahaha

Shilole:eheee,ndio ujue,sasa we sikia maneno ya watu tu.

Nuhu:
Sasa ukija unapitia njia gani

Shilole: Nashukia Nairobi nakuja basi au nashukia Kilimanjaro,tuangalie maisha yetu wangu

Nuhu: Sawa,lakini kweli kila mtu namaisha yake,si kuna yule Video queen alipiga picha uchi kabisa,na leo watu wote kimya

Shilole:Unaona sasa Baby wangu?kumbe unaakili ndio maana nakupenda,na hili watasema kisha wataakimya wao wenyewe?Mie ndio Shishi Baby.
 
Nimesikia "you heard" Clouds anasema eti ni bahati mbaya nguo ya ndan ilibenjuka so nyonyo ikachomoka bila yy kujua kutokana na mzuka wa stejin ila kama c unafiki anasikitishwa na aliemchukua iyo picha
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…