Shilole athibitisha kupigwa na Uchebe, asema kuanzia leo yeye siyo mke wa Uchebe

Yule dada aliyeporwa mume na Shilole atakuwa anatabasamu to hii habari.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Noma sanaπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ heheiyaaaaa...kipigo Cha shishi kimeleta Mambo.
 
CCM mwaka huu wana wagombea wa kila aina..wehu..mataahira..vichaa..basi habari za namna hii ni za kawaida kabisa huko.
 
Habari ishachakaa hii ndo unaileta sasa? Nenda kawe kampeni meneja wake, Uchebe aje awatandike wote wawili mkikataa kumpa uroda
 
Nimesikitika sana ..Kuna wanaume hawana shukrani mwanamke akustiri uonekane mtu mbele za watu na bado wamfanyia Mambo meusi..Hana haya na sura lake baya Kama sokwe.
Anamsitiri wapi? Ampe tigo aone kama atabwatuliwa makonde...

SHilole mdangaji tu kama wadangaji wengine, acha afundishwe adabu

Maendeleo hayana chama
 
hahahah Naona huyo demu amepata size yake,yeye si alikuaga anakapa kichapo heavy ka nuhu mziwanda mpk kanakimbilia barabarani,Ustaadhi Uchedi style yake ya kushtua kwa ngumi usingizini sijui alifundishiwa dojo gani.
Hii staili ya kubutua masumbwi usingizini nimeipenda sana... Maana kale kamoyo ka kumwonea huruma kanakuwa kamelala....
 
Eehe akichoka atafute mwingine wa kumkunaa nae atakujaa kumtandikaa tuu...!! Maana mwanamke mwenye mdomo na dharau hafai kuolewaa
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Chakushangaza wanaolewa Sana tu Kama shishi..tafuta pesa dharau utazisikia kwa jirani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…