Shilole athibitisha kupigwa na Uchebe, asema kuanzia leo yeye siyo mke wa Uchebe

Vi Ben Ten havipeleki soup hospitali ukiwa na malaria.
 
Duuuh pole sana
Huu ni upuuzi unampiga mke kama unapiga mwizi
 
Huko Bungeni amri ya sita itakoma. Kuna Steve Nyerere, Harmonise, Babu Tale list ni ndefu.
 
Nna uhakika huu sio mwandiko wa Shilole
 
Reactions: Pep
Ni kweli mkuu, Mm niliwahi kusema sitopiga mwanamke. Ila Kuna siku katika mabishano alinitukania tusi lile kubwa la mama, nikamwambia umesemaje embu rudia bila aibu akalirudia kilichotokea kwa mtu yoyote ataelewa
😂😂😂😂😂
 
hahahah Naona huyo demu amepata size yake,yeye si alikuaga anakapa kichapo heavy ka nuhu mziwanda mpk kanakimbilia barabarani,Ustaadhi Uchedi style yake ya kushtua kwa ngumi usingizini sijui alifundishiwa dojo gani.
Noma sana!
 
Kwahiyo dawa yake ni nini mkuu, kuwapiga???

Tuangalie na wanawake wa kuoa, shida nyingine ni za kujitakia tu.
Unamuoa shilole unategemea ule peke ako?
 
daah jamaa kapiga. achukuliwe hatua kali. siku moja moja shemeji wenu huwa "anaomba" nimpige, basi namgusa gusa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…