Shilole kila Mwanaume kwake ni mbaya

Huyu Shishi ni aina ya wanawake wale ambao ni domineering, wanaowatawala wanaume wao.
 
Nikipata hizi tenda sikauki mazoezi nakuambia mtu ni ataliwa non stop hadi atoke damu

Na vile mvivu kulima aah nakuwa zangu sex toy.
 
Shishi atabaki analalamika mpaka atakapojirekebisha hakuna mwanaume atakubali kuoa mwanamke asiejishusha labda hao ben10 anaolewa nao.
 
Kwa umri wa huyo dada na hilo umbo lake, hana sifa ya kupata vijana wa hilo rika bila kuwaonga. Hakuna kijana wa kiume wa hilo rika anaweza akawa na mahusiano ya kimapenzi na mwanamke kama huyo mmama bila kumlipa hela.
Hata wanaume wa rika moja na huyo mdada kwa sasa hawezi kuwapata.
Aache tabia ya kuwazalilisha vijana wa watu baada ya kuwachoka.
Mwanaume mwenye sifa alizozitaja hawezi kuacha kula watoto wabichi na wazuri aende kwa mmama kama huyo. Ni ndoto ya wanaume wengi kuwa na watoto wakali siyo wamama kama huyo mmama.
 
Aelewe hakuna kijana mwenye hela zake na mishe za kueleweka atakubali kuoa mshangazi. Vijana wanamkubali kwa sababu anawalipa halafu wao wanaenda kuenjoy na watoto wabichi.
Anapoishiwa hela za kuwalipa awe anakaa kimya siyo kuanza kuropoka kwenye mitandao kwa sababu muda wake ulishapita.
 
Mnawatia aibu wazee wenu!
Ushindwe kwenda kutafuta hela ya kula kisa umekesha unampa mke haki yake!? Sababu ya kijinga

Mpaka unakubali kuoa maana yake nguvu za kupiga mitii unazo.
Peleka motoo vijana🤸
Kuoa??
Sema kuoana maana ukisema kuolewa unakua unatweza utu wa kijana japo ni ukweli.
 
Yes, ni kuelewa position yako tu kwenye Game hupati shida angelica na Mtu mzima alafu angeona kila mtu angelica upande wake yaani unataka dogo dogo ipo Prime alafu utaki u-pay for that.

Ni kama mwanamke ajiweke kuwa Malaya alafu ataka treatments za kupetiwa petiwa na mwankuwa romantic kwake hakuna mtu huyo, au mwanamke ni Wife materials alafu utake Treatments za malaya yaani baby nimekupa leo bila kunipa pesa mwanaume atakutoa akili na kukuacha.

Ukitulia na position yako Hutton shida.
 
Huyo mwanaume ni mkubwa kwa Shishi sema ni wale wanaume wavivu, msingi kiuno.
Shishi naye aache kudate na wanaume wajinga na wavivu. Si amchukue hata msukuma 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…