Shindano la big brother lina maudhui gani?

Mkuu, kuweka remote chumbani haitoshi, watoto wanahamisha direct kwenye decor.
Ni kweli, ila huwa nabeba kisimbuzi na remote yake.

Nyumbani kwangu nina Visimbuzi viwili, pamoja na Azam, kwahiyo huwa naondoa cha Dstv nawaachia Azam TV
 
Asante.
 
Nilikuwa naipenda kipindi kile inajumuisha nchi zote za Africa maana kulikuwa kuna kaushindani ka kitaifa, halafu ile season ya kwanza ya kina Mwisho mwampamba na kidogo ya kina Richard ilikuwa na uhalisia, zilizofuata watu walikuwa wanaigiza sana

Inshort big brother ilikuwa ni reality show ya ukweli na wengi wetu tulikuwa tunapenda kuangalia personalities nzuri na drama lakini pia kujifunza mila, tamaduni na tabia za waafrika.. It was
πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

Hayo ya wengi wanaosema kuna sex, wangeiona ile season one iliyofungiwa ndo wangeelewa 😁😁😁 kwanza siku hizi wanaonesha shower hour kweli maana toka season ya Idris sultan, sijawahi kuiangalia tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…