Acha kuchanganya mambo hapo,kilichozuiliwa hapo ni ndoa ya Mwanafunzi,uliwahi ona wapi polisi wakija kuzuia ndoa ya mtu mwenye zaidi ya miaka kumi na nane na ambae siyo mwanafunzi,huyo msichana hapo ni mwanafunzi,tena mwanafunzi wa sekondari,bora angekuwa chuo,na awe na zaidi ya miaka kumi nane,hakuna ambae angeenda kuzuia hiyo ndoa.
Huyo ni mwanafunzi wa shule gani?
Huyo binti kisheria sio mwanafunzi.
Maana ameshamaliza form 4 na bado hajaanza form 5. Hivyo sio mwanafunzi.
Na pia kwenda form 5 sio lazima ni uamuzi wake.
HAKUNA SHERIA YOYOTE ILIYOVUNJWA. NDOA NI HALALI