kekule benzene
JF-Expert Member
- Sep 28, 2016
- 1,444
- 3,576
Unaanzaje kumlazimisha mtu kwenda A level??
Kama anataka aende kusoma diploma ndio aende degree??
Wanaojifanya wanatetea ndoto za watu si ndio hao hao wanawanyima mikopo na ajira??
Si ndio hao hao wanawapangia combination wasizozitaka??
Kama anataka aende kusoma diploma ndio aende degree??
Wanaojifanya wanatetea ndoto za watu si ndio hao hao wanawanyima mikopo na ajira??
Si ndio hao hao wanawapangia combination wasizozitaka??