Shinyanga: Polisi wafanikiwa kuzuia ndoa ya binti aliyefaulu kwenda kidato cha tano

Mabinti kuolewa wala hakukatishi ndoto ni kukariri maisha tu.

Rais wa nchi hii alihitimu kidato cha nne 1977 na mwaka 1978 akaolewa!

Ndoto zipi hajatimiza?
Inashangaza, hii nguvu pia ingetumika kuzuia zinaa, maana kama walikua wanafanya kwa kujificha hakukua na shida, wamefuata njia sahihi watu wanaingilia
 
Inashangaza, hii nguvu pia ingetumika kuzuia zinaa, maana kama walikua wanafanya kwa kujificha hakukua na shida, wamefuata njia sahihi watu wanaingilia
Sio kazi ya serikali kupambana na zinaa, hayo ni mambo ya dini.
 
RC ndiyo kazi aliyopewa na Rais?

Wazazi hawana pesa za kumsomesha, sasa RC agharamie gharama za matumizi na za masomo
 
Hapo Serikali wamewatumia Kama kafara la funzo kuogopesha wengine.
Wasiishie hapo wamlipie na ada kabisa.
Sasa hao ni waumini gani ambao walikuwa wanapata mafundisho ya Mapenzi ya jinsia moja? Waende madhehebu mengine ambayo yanafundisha Kweli ya Neno la Mungu siyo mafundisho machafu kama hayo!
 
Wasukuma na ndoa za utotoni ni pipa na mfuniko
 
Daah ukute hapo muda wa mpunga ulikuwa ndio unakaribia alafu umewaambia nyumbn msipike Leo naenda kula harusini.
 
Kwenye mambo ya kutumia akili tunatumia nguvu kubwaa polee Tanzania…..sasa bunduki za nn apo,Aya tuseme bint alikuwa na mpango wa kwenda chuo
What if kama kungetokea vurugu unafikir hao polisi wangejihami vipi ?
 
Eti nipe Elimu,wanawake wangapi wanamaliza University wanakosa kazi,wanaishia kuwa michepuko au kudanga.Halafu Kuolewa si mwisho wa elimu,unaweza ukasoma chuo ukiwa umeolewa.Mimi ningekuwa huyo binti ningewashtaki hao mkuu wa mkoa,wangenipa fidia na shule siendi ningeanza kupiga biashara na mme wangu.
 
Hii nchi sasa viongozi wamekosa Kazi ya kufanya......

Binti anautaka mwenyewe mkongojo......!wanaingilia faragha za watu......

Wakati kuna Kazi nyingi tu za wao kufanya hata kumshauri mama kuhusu Bandari zetu kuuzwa...

Wao viongozi hiyo ndiyo Kazi pekee wanayoweza kuifanya.....kuingilia mapenzi watu walioridhiana kwa hiari yao.

Nonsense!
 
Serikali kujua yote yaliyonyuma ya hiyo ndoa ni jamii yenyewe waliotoa taarifa na unaweza kukuta ni Binti mwenyewe au ndugu baada ya kutokubali ndoa ifanyike.
Hapo itakuwa ni Kuna mwamba alimtaka binti kachomoa kamwambia tutaona akamchoma police
 
Ili kuzuia hii Tabia kuenea kwa wengine
 
Akili ya kusoma anayo? Maisha Sio shule
 
Kwani hapa Bongo Elimu ya lazima ni mpka ufike level gani!?
Hapa wamezingua mtu amehitimu form four akili yake tiari imeshakomaa kuendelea kusoma na kuto endelea kusoma ni mamuzi yake yeye mwenyew kuamua siyo kuamuliwa .

Sjui hapa ni kigezo gani kimetumika kuvuruga harusi ya huyo binti
 
Kwenye mambo ya kutumia akili tunatumia nguvu kubwaa polee Tanzania…..sasa bunduki za nn apo,Aya tuseme bint alikuwa na mpango wa kwenda chuo
Lolote linaweza kutokea mkuu lazma ujihami
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…