Shinyanga: Polisi wafanikiwa kuzuia ndoa ya binti aliyefaulu kwenda kidato cha tano

Kuna kingine zaidi ya mihemko na kiki za kijinga
 
Mabinti kuolewa wala hakukatishi ndoto ni kukariri maisha tu.

Rais wa nchi hii alihitimu kidato cha nne 1977 na mwaka 1978 akaolewa!

Ndoto zipi hajatimiza?
Zimetimia kabisa
 
Huo ni unyanyasaji wa kumnyima binti haki yake ya kupigwa "paipu" dushe.
Mwacheni afurahie mgegedo hevi masomo atasoma tu hao waliosoma wengi hawana kazi na wenye kazi ni wezi na wala dili mwacheni binti afanye kinachofaa kwake.
 
Haya Kanda ya ziwa once again
Manyocolo zao
Hawaachi tu mambo yao
 
[emoji16][emoji16][emoji16]ili jamaa limewaza mbali sana, huwezi waza ivi kama muda huo huna njaa
Mm nikisikiaga sherehe yyte jambo la kwanza linalokuja kichwan ni kula tu mengine sio issue, nikichangia harusi ukaja nipa vireja na maji utarudisha mchango wangu.
 
Hawa washenzi, kwani Binti hawezi kuolewa akaendelea na shule? Hii ni kuzuia maamuzi binafsi ya watu

Walimu mnawapa kazi sana na mishahara mbuzi, sasa huyu binti aliyepelekwa shule na SMG unategemea atasoma kweli
Ni watu werevu pekee ndiyo wataelewa hiki ulichoandika hapa.
 
Ni watu werevu pekee ndiyo wataelewa hiki ulichoandika hapa.
Kama Binti ameridhika wamuache tu, vijana watengeneza familia hata kwa kilimo na ufugaji watatoka tu, vijana wa vijijini wengi wamepiga hatua unakuta ana kajumba,shamba na mifugo mingi tu, huku mjini tukishapanga self na kumiliki I phone tunaona maisha tumeyaweza, alafu kwa ajira zipi watu walazimishwe kusoma kwa kushikiwa SMG?
 
Kwa umri alionao binti ni wazi kuna uhakika 💯% kuwa alianza mahusiano na huyo bwana yake muda mrefu wakati akisoma, na inawezekana kabisa yeye ndiye alishinikiza kuolewa na siyo wazazi. Na inawezekana alitoa vitisho kuwa wazazi wasipomruhusu kuolewa, shule hataenda na atafanya kitendo kibaya cha kujidhuru, kuzalia nyumbani, nk, maan mabinti wa sasa ni pasua kichwa. Ili kutimiza matakwa yake wazazi ndiyo wakaona isiwe tabu wakaridhia. Hizi sheria lazima ziangaliwe upya, kuna watoto wakiamua jambo lao hakuna kurudi nyuma. Sasa kwa mazingira niliyoelezea hapo ingawa ni assumptions zangu tu mzazi ana kosa gani na ukiangalia binti ana 18+ yrs old.

Nina uhakika huyo binti hata akienda shule hatamuacha mumewe, in short atakuwa mwanafunzi kwa kulazimishwa na MKE wa mtu wa ndoa. Likizo ikifika tu huyoooo kwa mumewe kumpikia na kusarambuana.
 
Hii nchi ya hovyo sana yaani binti kapata bahati ya kuolewa lakini serikali dhalimu inakuja kuharibu mipango, sijui wanataka mabinti wadangaji waongezeke huko vyuoni, sijui wanataka tuongeze idadi ya masingle mother? Tabu sana hii nchi
 
Wajinga kweli, wamefanya kosa gani. Binti ni over 18.
 
Maccm bana kazi kutumia nguvu,suala la elimu ni hiari ya mtu.
Or else km binti yupo under 18.
Kuna comedian Jana nilimsikiliza, Naona anawazidi akili wote waliokwenda kuharibu shughuli ya Watu, Nanukuu, alisema Kwa mwanamke Kuna choices tatu, Kusoma, kutafuta Maisha na kuolewa, na Sio lazima upitie yote!! Unaweza kuruka yote na kuamua kuolewa kujenga familia, au unaweza ukaamua kutafuta Maisha, au Zaidi Zaidi ukaamua kusoma then ukaolewa!! Sasa hao Polisi wanakereka na nini!? Kuharibu Maisha ya Watu!?
 
Huu ni wivu uliopitiliza, unaweza kukuta Hata huyo RC Hana Mume Sasa elimu yake imemsaidia Nini kukuza familia!?
 
Acha kudanganya watu sheria ya ndoa imeruhusu mtoto wa miaka kumi na nne kuolewa kwa ridhaa ya wazazi Kama wazazi wamekubaliana wewe unaingilia Nini?. Halafu kitu kingine elimu ya msingi ni form four kwa Sasa. Sasa kashavuka huko Bado mnamfuatilia.
 
Anakwenda kujiunga na shule gani?. Kama yet binafsi amahairisha kusoma anataka kufanya mambo mengine utamlazimisha?. Mnaingilia ndoa lakini madangaji mnayashobokea.
 
Cheap popularity. Hakuna kitu hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…