Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Ulikuwepo?weka video tuoneHiyo gari imepata ajali mbaya sanaaa imebingirika mara tano? Kwani hamuwezi kuuficha upumbavu wenu hata kidogo tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulikuwepo?weka video tuoneHiyo gari imepata ajali mbaya sanaaa imebingirika mara tano? Kwani hamuwezi kuuficha upumbavu wenu hata kidogo tu?
Dah bora Mzee wako angepiga nyeto tuuWaache kumtukana mtiwa mafuta wa Bwana JPM Mungu hapendi... pole lakn
Dizaini kama mmemsusa Jiwe ajipiganie mwenyewe,hamleti tena zile Riwaya zenu za so called mazuri aliyoyafanya kama vita ya ufisadi na miundombinu.Tunawaombea wote wapone na wawe salama..hawakuwa na msafara wa Polisi?
Wanataka uchaguzi usogezwe mbele ili wakajipange upyaWanga kazini..
Mungu ni mwema WAMENUSURIKA na kifo na WAMESALIMIKA na majerahaTunapokea habari kuwa mgombea mwenza wa Chadema ndugu Salum Mwalim amepata ajali ya gari nadhani maeneo ya Msalala
====
Tumepata ajali mbaya sana eneo la Msoka Kata ya Ngogwa, Jimbo la Masalala tukitoka kwenye mkutano wa Kampeni jimbo la Msalala tukienda kwenye mkutano wa Kahama.
Kwenye gari alikuwepo Mgombea Umakamu wa Rais (Chadema), Mheshimiwa Salum Mwalimu, Katibu wa Makamu wa Rais, Gerva Lyenda, Mlinzi, Omary na Dereva, Haule.
Gari ilipinduka kuzunguka mara tano.
Mpaka sasa wote tupo salama, labda kama kutakuwa na maumivu ya ndani.
View attachment 1576350
Kimoyomoyo unafurahi huku ukitamani yangempata fulaniPole, Mungu ampe wepesi aweze kuendelea na kampeni.
Maendeleo hayana vyama!
Wamefeli...Wanataka uchaguzi usogezwe mbele ili wakajipange upya
Sio fisadiMakamu wa rais anatumia rav 4?