Uchaguzi 2020 Shinyanga: Salum Mwalimu amepata ajali eneo la Msoka akitoka kwenye kampeni za Urais jimbo la Msalala

Mungu ni mwema WAMENUSURIKA na kifo na WAMESALIMIKA na majeraha
 
Poleni sana,Mungu awaongezee ulinzi wake,

Ongezeni umakini pia kwa Mgombea uraisi huko barabarani,Gari ya Lissu ikaguliwe kila kituo kwa umakini,mashetani hawachelewi kulegeza nati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…