Mkwaruu Kombo-Tapa
Member
- Aug 1, 2020
- 62
- 60
Pole sana. Mwenyenzi Mungu ampatie nguvu na uzima. Amina
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mola awawekee mkono wa uponyaji mrejee kwenye afya yenu mapema itakavyompendeza. Kwake kila kitu kinawezekanaTumepata ajali mbaya sana eneo la Msoka Kata ya Ngogwa, Jimbo la Masalala tukitoka kwenye mkutano wa Kampeni jimbo la Msalala tukienda kwenye mkutano wa Kahama.
Kwenye gari alikuwepo Mgombea Umakamu wa Rais (Chadema), Mheshimiwa Salum Mwalim, Katibu wa Makamu wa Rais, Gerva Lyenda, Mlinzi, Omary na Dereva, Haule.
Gafi ilipinduka kazunguka mara tano.
Mpaka sasa wote tupo salama, labda kama kutakuwa na maumivu ya ndani.
View attachment 1576359View attachment 1576360
Tunapokea habari kuwa mgombea mwenza wa Chadema ndugu Salum Mwalim amepata ajali ya gari nadhani maeneo ya Msalala
View attachment 1576350
Du amepona lakin?Tunapokea habari kuwa mgombea mwenza wa Chadema ndugu Salum Mwalim amepata ajali ya gari nadhani maeneo ya Msalala
View attachment 1576350
Mungu Mkubwa.Tumepata ajali mbaya sana eneo la Msoka Kata ya Ngogwa, Jimbo la Masalala tukitoka kwenye mkutano wa Kampeni jimbo la Msalala tukienda kwenye mkutano wa Kahama.
Kwenye gari alikuwepo Mgombea Umakamu wa Rais (Chadema), Mheshimiwa Salum Mwalim, Katibu wa Makamu wa Rais, Gerva Lyenda, Mlinzi, Omary na Dereva, Haule.
Gafi ilipinduka kazunguka mara tano.
Mpaka sasa wote tupo salama, labda kama kutakuwa na maumivu ya ndani.
View attachment 1576359View attachment 1576360
Pole Sana makamanda ,Pole sana Mh Mwalimu, Mwenye enzi Mungu akakusaidie ukawe na afya njema.
Mmeanza kuongeza yale machumvi yenu tenaTumepata ajali mbaya sana eneo la Msoka Kata ya Ngogwa, Jimbo la Masalala tukitoka kwenye mkutano wa Kampeni jimbo la Msalala tukienda kwenye mkutano wa Kahama.
Kwenye gari alikuwepo Mgombea Umakamu wa Rais (Chadema), Mheshimiwa Salum Mwalim, Katibu wa Makamu wa Rais, Gerva Lyenda, Mlinzi, Omary na Dereva, Haule.
Gafi ilipinduka kazunguka mara tano.
Mpaka sasa wote tupo salama, labda kama kutakuwa na maumivu ya ndani.
View attachment 1576359View attachment 1576360
Machumvi yapi weweMmeanza kuongeza yale machumvi yenu tena
Hiyo gari imepata ajali mbaya sanaaa imebingirika mara tano? Kwani hamuwezi kuuficha uongo wenu hata kidogo tu?Machumvi yapi wewe
Nimepigiwa simu yuko salamaMwenezi wa Chadema huna uhakika?