Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namba kulazimishana! Labda nyumbani kwako, tafuta taarifa toka Moshi kikao cha madiwani.Bwashee kwa sasa kuvaa au kutovaa barakoa ni hiyari ya mtu hakuna kulazimishana.
Pale muhimbili hauingii bila kuvaa barakoa, unaelewa maana yake?
Kwa sababu siyo lazima wewe kwenda Muhimbili!kama ni hiyari kwanini Muhimbili wanazuia ?
Sijasema hivyo!Hee kumbe mikwara yote ni kwa sababu serikali haina pesa? Sasa huo utajiri wa tanzania anaopigia kelele kila siku upo kwenye nini?
Kunenge anakutafuta chirwa!Namba kulazimishana! Labda nyumbani kwako, tafuta taarifa toka Moshi kikao cha madiwani.
😆😆😆Kwa sababu siyo lazima wewe kwenda Muhimbili!
Hakumbuki kama aliwahi kuleta dawa toka madagascar,akatumia yeye na familia yake tu.Huyu mtu ni mbinafsi sana... shitholes hakuna openness kama huko walikostaarabika ambako tuliona viongozi mbalimbali wakipata chanjo (tulivyo wazushi hatukawii kusema changa la macho); huku kwetu mambo ni sirini sio ajabu huyo unayesimama naye alishachanjwa siku nyingi sirini endelea kuwa mjinga.
Habari njema vipi sasa kwani lazima? Si lazima tutoe hela ili walete hizo chanjo? Vipi tusipotoa?Hii ni habari njema sana. Ile mijamaa ya chama fulani imechutama karibu yote kama mi nanihii.
Inasubiri amri tena tokea kwa master. Ikumbukwe inatakiwa kutotofautiana naye hata kwa kama.
Hiiii bagosha.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Duh wasukuma bwana. Hujui bila chanjo watoto wasinge survive dhidi ya surua, polio na magonjwa mengineyo. Wakati huwa nafikiria nyie sio watu bali marobotiHatuangalii historia we mtu mwetu mweusi..huyuu ndo atakuwa wa kwanza kushinda hao waume zako beberuru..alaf kizaz chako cha vilaza ndo kitaanza kutambua kuwa kuna rais wa africa aliewah kuahinda beberu..
Hakumbuki kama aliwahi kuleta dawa toka madagascar,akatumia yeye na familia yake tu.Huyu mtu ni mbinafsi sana
Sisi ni matajiri ila hatuna helaSijasema hivyo!
Lakini wanaposema tujiandae kupokea chanjo, chanjo kutoka wapi? Si lazima tuagize kwa kutoa hela ili watuletee? Sasa tusipotoa hela inakuwaje?
Mwisho wa siku watazileta bure.
Si umeona South wamenunua kwa bei mara 2 ya bei ya sokoni?
Sijui kwanini mabavicha huwa mnajidharau sana,?... shitholes hakuna openness kama huko walikostaarabika ambako tuliona viongozi mbalimbali wakipata chanjo (tulivyo wazushi hatukawii kusema changa la macho); huku kwetu mambo ni sirini sio ajabu huyo unayesimama naye alishachanjwa siku nyingi sirini endelea kuwa mjinga.
Wewe ndio huna hela usitujumlishe watz woteSisi ni matajiri ila hatuna hela
Mkuu;mafahari wawili wapiganapo ziomiazo ni nyasi.Wacha tuone nani ataibuka mshindi au nani ataumia.
Tukutane Breakpoint, ukimuona mtu mwenye nywele za kisomali ndiye mimi.Kunenge anakutafuta chirwa!
Hatupokei chanjo za kuletewa, watusubiri tutengeneze zetu na wao wawe tayari kuzipokea! Wapuuzi sana hawa! Kwetu tatizo siyo corona sisi tunataka chanjo ya malaria, kifua kikuu, ukimwi, kisonono, gonora, pressure, na kansa! Hiyo covid-19 wapambane nayo wenyewe, siye huku Mungu ameshatuchanja! Huo ujuha wapeane wenyewe! Tanzania tutasimama kwa neema ya Mungu!
Amina.Wahenga walisema usipo sikia la Mkuu Utavujika mguu!...