Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kati ya nani na nani?Wacha tuone nani ataibuka mshindi au nani ataumia.
We nakujuaga nafsi yako haiko CCM kitambo kwakua una akili sana.Serikali lazima ikubali kupokea chanjo na kama inakataa lazima kuwa na hoja za msingi sana za kushawishi kuwa sio chanjo bora au ina shida. lakini kuikataa tuu haitawezekana kwa sababu uchumi wetu na kila kitu kinategemea muingiliano wa watu ni lazima chanjo tukubali kwani hili ni jambo jema kwani tuna chanjo nyingi sana tumezikubali na zimeonesha ufanisi mkubwa.
Hakuna cha maamuzi magumu. Hana namna. Alichozungumza kwenye ule mkutano ni furahisha genge tu. Chanjo itakuja Tanzania kwa ajili wanaohitaji. Hama huhitaji siyo lazima. Hata nchi za Ulaya kuchanja siyo lazima.Daaah mzee anatakiwa kuchukua maamuzi magumu
Hio chanjo sionji hata toneHakuna cha maamuzi magumu. Hana namna. Alichozungumza kwenye ule mkutano ni furahisha genge tu. Chanjo itakuja Tanzania kwa ajili wanaohitaji. Hama huhitaji siyo lazima. Hata nchi za Ulaya kuchanja siyo lazima.
Kwani kuna ugumu gani kuikataa hiyo chanjo "kwa sababu za msingi" kama zile tulizotumia kuachana na kupima na kutangaza maambukizi?Serikali lazima ikubali kupokea chanjo na kama inakataa lazima kuwa na hoja za msingi sana za kushawishi kuwa sio chanjo bora au ina shida.
Naamini kutangaza Ni njia namba moja ya kupambana na Covid kwasababu watu wakiujua ukweli wataongeza tahadhari tofauti na ulivyo watu wanapuuzia wakiamini hakuna wakati watu wanaondoka kimya KimyaKuhusu Chanjo, ni kweli Tanzania sio kisiwa hivyo kwa niaba ya wananchi, serikali Ina wajibu wa kukubaliana na suala la Chanjo kwa raia wake.
Lakini suala la kutangaza taarifa sidhani Kama linaathiri mapambano dhida ya janga Hilo.
Dadek.. Ndio maana kina Lisu wameona bora wahamie huko huko kabisa.Hapo mke anapomgomea bwana ake kulala kibra [emoji23][emoji23][emoji23]
Wakati aliapa kwa shida na raha....,na Raha za misaada kwakua hatuwezi kujitegemea tujaendeshea ving'ora kila siku
Kisa ?Waanze kuchanjwa chadema kwanza
Mbona kama unabadili gia angani mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwisho wa siku hii chanjo tutapewa bure huku wengine wakiinunua kwa gharama mara mbili!
Saa nyingine mikwara ya JPM inasaidia sana.
unatumiwa na mabeberu weweHivi miaka mitano ya uongozi wa magu ameweza kutransform vipi huo utajiri wa nchi hii ureflect kwenye maisha ya wadanganyika wanaoishi kwa kipato cha chini ya dolla moja kwa siku.au kazi yakeni kupiga makelele tu
Gia kivipi?Mbona kama unabadili gia angani mkuu[emoji23][emoji23]