Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,356
- 38,922
Msimamo wa nchi kupitia magufuli ni kwamba chanjo hazifai na hatuzitaki hata bure.Gia kivipi?
Kwani wao wanaposema tujiandae, tujiandae vipi wakati hatujaagiza dawa?
Si watatuletea bure?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msimamo wa nchi kupitia magufuli ni kwamba chanjo hazifai na hatuzitaki hata bure.Gia kivipi?
Kwani wao wanaposema tujiandae, tujiandae vipi wakati hatujaagiza dawa?
Si watatuletea bure?
Mshindi Ni TanzaniaWacha tuone nani ataibuka mshindi au nani ataumia.
Ni sawa na ndivyo inavyotakiwa. Hata huko wanakotoa chanjo sasa hivi hakuna anayelazimishwa.Kwa hivyo tutachanjwa kwa lazima whether we like it or not!
Mimi nasimama na Jiwe hachanjwi mtu hapa hahaa!
Serikali lazima ikubali kupokea chanjo na kama inakataa lazima kuwa na hoja za msingi sana za kushawishi kuwa sio chanjo bora au ina shida. Lakini kuikataa tuu haitawezekana kwa sababu uchumi wetu na kila kitu kinategemea muingiliano wa watu ni lazima chanjo tukubali kwani hili ni jambo jema kwani tuna chanjo nyingi sana tumezikubali na zimeonesha ufanisi mkubwa. Serikali kukataa chanjo ni kuua watu wasio na hatia.
Tumesaini mikataba mingi ya kimataifa lazima tukubali chanjo hii.
Swala la chanjo ni lazima.
Hatupokei chanjo za kuletewa, watusubiri tutengeneze zetu na wao wawe tayari kuzipokea! Wapuuzi sana hawa! Kwetu tatizo siyo corona sisi tunataka chanjo ya malaria, kifua kikuu, ukimwi, kisonono, gonora, pressure, na kansa!
Hiyo covid-19 wapambane nayo wenyewe, siye huku Mungu ameshatuchanja! Huo ujuha wapeane wenyewe! Tanzania tutasimama kwa neema ya Mungu!
Ndiyo sasa wao wanatulazimishaje?Msimamo wa nchi kupitia magufuli ni kwamba chanjo hazifai na hatuzitaki hata bure.
Umeona anaelekea kushindwa Mungu wako,unaanza kutengeneza mazingira.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwisho wa siku hii chanjo tutapewa bure huku wengine wakiinunua kwa gharama mara mbili!
Saa nyingine mikwara ya JPM inasaidia sana.
Wewe nawe unaishi Ulimwengu gani! Naona kama hujitambui na hujui chochote.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwisho wa siku hii chanjo tutapewa bure huku wengine wakiinunua kwa gharama mara mbili!
Saa nyingine mikwara ya JPM inasaidia sana.
Kwa nini niende Marekani? Gharama za kwenda huko utalipa wewe?Kwani umekatazwa kuchanjwa? Hata sasa hivi nenda Marekani ama nchi wanazotoa chanjo ukachanje mkuu! Hiari yako! Pia kumbuka hata sasa hivi kuna chanjo nyingi tu watu duniani wanachanja lakini hawalazimishwi.
Jiwe ni Rais wa kiwango cha chini kuliko yeyote ambaye tuliwahi kumpata. Haielewi Dunia, haujui uchumi wala hekima ya uongozi. Ndiye ufikirie wa kuwashinda mabeberu? Mabeberu huwezi kuwashinda kwa porojo unazowapa wananzengo bali kwa mipango thabiti inayozingatia weledi wa kutosha kuhusu maendeleo ya Dunia.Hatuangalii historia we mtu mwetu mweusi. Huyuu ndo atakuwa wa kwanza kushinda hao waume zako beberuru..alaf kizaz chako cha vilaza ndo kitaanza kutambua kuwa kuna rais wa africa aliewah kuahinda beberu.
Mpumbavu sana wewe!Wewe nawe unaishi Ulimwengu gani! Naona kama hujitambui na hujui chochote.
Ni chanjo gani, Tanzania inalipia? Wanachi wa mataifa tajiri ndio hulipia chanjo. Lakini mataifa yote maskini hupewa chanjo bure, na pia hupewa baadhi ya ambazo ni aghali za kutibu magonjwa hatarishi bure.
Tanzania ipo katika kundi la nchi maskini, hivyo ina-qualify kupewa chanjo zote bure. Wewe huwa unadanganyika na ule uwongo wa Jiwe kuwa nchi hii ni tajiri?
Bajeti ya Tanzania ni ndogo kiliko bajeti ya jiji la Lagos. Na mapato ya Tanzania kwa mwaka ni chini kuliko mapato ya bandari moja kati ya bandari 400 ndogo za US.
Sent using Jamii Forums mobile app
Magufuli sio WHO,yeye kasema kwa maoni yake binafsi,na sifikiri kama ni msimamo wa serikali.Mpaka kitaeleweka tu. Meko kama kawaida aliropoka tu bila kujua kwamba anabanwa na makubaliano ya Kiafya ya WHO.
Ikiwa hatuna imani na hiyo chanjo tuipokee tu na tuchanjwe kwa kuwa tuna mkataba na who?Mpaka kitaeleweka tu. Meko kama kawaida aliropoka tu bila kujua kwamba anabanwa na makubaliano ya Kiafya ya WHO.
Nani mungu sasa? Sasa hiyo chanjo unapewa bure?Umeona anaelekea kushindwa Mungu wako,unaanza kutengeneza mazingira.
Umeambiwa chanjo hiyo itauzwa?
Nyerere alikua Ana akili ndugu,tumechanjwa enzi za Nyerere chanjo za polio, ndui na magonjwa mengine.Mtu kama wewe ungekuwepo kizazi cha Nyerere naona ungeenda kutoa hata niniliu kwa wazungu ili uwe upande wao.
Mwenye masikio na asikie, wanaompuuza Rais waendelee kumpuuza na kumkebei ila ipo siku watakuja kuelewa.ni kukumbusha serikali kuwa, hii ni sehemu ya makubaliano ya kanuni za afya za kimataifa ambapo nchi wanachama wamekubali kwa pamoja kuzuia kusambaa kwa magonjwa''
Hilo linajulikana na itachukua muda kufika kwetu. Hata kama una hela ukaenda Marekani leo sidhani kama utafanikiwa kuchanjwa kwani priority ni raia wao na sasa hivi wanaochanjwa ni wazee na medical personnel tu.Tanzania hakuna chanjo mpaka sasa! Subiri WHO wakileta za bure ukachanje ila kama unapesa zako nenda USA au Ulaya ukawahi chanjo usije ukafa na Covid-19