twende-kazi
Member
- Apr 7, 2011
- 82
- 102
G
GGM, na Ashanti wamewekeza Taifa na wao lengo lao ni kueneza ukristo we mburula na malaya wa kikristo?
Aisee hatari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
G
GGM, na Ashanti wamewekeza Taifa na wao lengo lao ni kueneza ukristo we mburula na malaya wa kikristo?
Lini ushakula hela ya posta?Afadhali wabongo wakipiga tunakula nao kuliko waarabu watakaokuwa wakipiga na kupeleka uarabuni.
Waliingia mikataba 22, tumeanza kuijua mmoja baada ya mwingine, bandali imebumbulua yote hayaKweli kokoro la mvuvi wa Dubai mwezi February 2022 lilivua mengi katika nyavu zake
Mambo ya 2020 umeyaona leo? Unakumbuka shuka kumekucha.
Akikujibu niite.Lini ushakula hela ya posta?
kwani mna gesi ninyi, ges ilishauzwa kitambo ndio maana mwendazake kaamua kujenga bwawa la umeme wa maji baada ya kuona hauwezekani sababu wajanja walishauza zamaniMwendazake ndiye alizuwia miradi ya gas, mama anaifufuwa yote na zaidi.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Umekosea ni 36 hiyo ya Dubai na UAE tu. Bado ya Oman bado ya Saudi Arabia.Waliingia mikataba 22, tumeanza kuijua mmoja baada ya mwingine, bandali imebumbulua yote haya
umeshasoma maana ya "asset" na "liability"kwani mna gesi ninyi, ges ilishauzwa kitambo ndio maana mwendazake kaamua kujenga bwawa la umeme wa maji baada ya kuona hauwezekani sababu wajanja walishauza zamani
mwambie ukweli siku nyingine atumie akili, akauze Zenjiumeshasoma maana ya "asset" na "liability"
Anauliza, umeshasoma kuhusu 'asset' na "liability"?mwambie ukweli siku nyingine atumie akili, akauze Zenji
aliyetoa ruksa ya kusaini ni Mzanzibar, waziri aliye saini Mzenji, katibu Mkuu aliyesaini Mzenji, mwanasheria Mzenji, kilichouzwa ni rasilimali za Tanganyika,Anauliza, umeshasoma kuhusu 'asset' na "liability"?
Hatuwezi kushangaa kwani utakumbuka Kuna kipindi Mheshimiwa alifanya ziara ya kimya kimya hadi wadadavuaji wakaanza kuulizia ukimya wa Rais mbona hasikiki.?
Good news
TWARUDI NYMBANI EH TWARUDI MATIMILA EH. NAMKUMBUKA Dr. REMMY ONGALA
Ccm yeye atakuwa wapiposta inakwenda kua ya mitambo mitupu apo ndio chadema watakapo tafutana
Zanzibar inaongoza kwa watu kuingiliana kinyume na maumbile.Waarabu watu safi sana acha tushirikiane nao. Wana utu sana kuliko wazungu wanao preassurize ushoga. Acha twende na arabs.
top tukiwamulikaCcm yeye atakuwa wapi
Katiba kwa sasa sio issue tena.Tupate katiba mpya bora na tume huru ya uchaguzi Hangaya hatoboi 2025
Mawazo potofu. Na ingekuwa ushirikiano na nchi za Magharibi, lengo lingekuwa ni nini?Wana lengo la kueneza Uislamu. Hiyo ndiyo ajenda kuu nyuma ya hiki kinachodaiwa Uwekezaji.
Ajiulize kilichotokea 17.03.2021Katiba kwa sasa sio issue tena.
Watz washatupiwa shipa la bandari wahangaike nalo hilo.
Sasa hv Mama anaendelea kujiteulia tu safu ya NEC kwa maandalizi ya uchaguzi. Sisi tuko busy na bandari yao.