Shirika la Posta kushirikiana na Posta ya Falme za Kiarabu

Shirika la Posta kushirikiana na Posta ya Falme za Kiarabu

Mwendazake ndiye alizuwia miradi ya gas, mama anaifufuwa yote na zaidi.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
kwani mna gesi ninyi, ges ilishauzwa kitambo ndio maana mwendazake kaamua kujenga bwawa la umeme wa maji baada ya kuona hauwezekani sababu wajanja walishauza zamani
 
Waliingia mikataba 22, tumeanza kuijua mmoja baada ya mwingine, bandali imebumbulua yote haya
Umekosea ni 36 hiyo ya Dubai na UAE tu. Bado ya Oman bado ya Saudi Arabia.

Halafu kuna ya Uturuki mbali, kuna ya Egypt mbali, kuna ya Morocco mbali. Umelala?

Mlikuwa hamuoneshwi, sasa mama anaiweka wazi muelewe.

mama anaupiga mwingi kitaifa na kimataifa.
 
Anauliza, umeshasoma kuhusu 'asset' na "liability"?
aliyetoa ruksa ya kusaini ni Mzanzibar, waziri aliye saini Mzenji, katibu Mkuu aliyesaini Mzenji, mwanasheria Mzenji, kilichouzwa ni rasilimali za Tanganyika,

mwambie auze zenji.
 
Tangu awamu ya 6 imeanza Waarabu wanaitafuta Tanganyika kwa kila hali.

View attachment 2660271
Hatuwezi kushangaa kwani utakumbuka Kuna kipindi Mheshimiwa alifanya ziara ya kimya kimya hadi wadadavuaji wakaanza kuulizia ukimya wa Rais mbona hasikiki.?

Kumbe kaenda kuangalia miradi!
WaTanzania tuamke! Jobo alisema haya na ndio yanayokea!!
 
Tupate katiba mpya bora na tume huru ya uchaguzi Hangaya hatoboi 2025
Katiba kwa sasa sio issue tena.
Watz washatupiwa shipa la bandari wahangaike nalo hilo.
Sasa hv Mama anaendelea kujiteulia tu safu ya NEC kwa maandalizi ya uchaguzi. Sisi tuko busy na bandari yao.
 
Katiba kwa sasa sio issue tena.
Watz washatupiwa shipa la bandari wahangaike nalo hilo.
Sasa hv Mama anaendelea kujiteulia tu safu ya NEC kwa maandalizi ya uchaguzi. Sisi tuko busy na bandari yao.
Ajiulize kilichotokea 17.03.2021
 
Back
Top Bottom