Shirika la Posta laanza biashara ya mabasi mikoani

Shirika la Posta laanza biashara ya mabasi mikoani

Watu watafanya biashara zao na hayo magari: magendo, ubinamu, na mashemeji!
"Mzigo wa bosi huu, na huyu si sekeletali wake? Hujipendi eh?
 
Kuliwahi kuwa na mabasi ya posta miaka ya nyuma mpaka enzi za Mkapa sijui yaliishia wapi.
Yalikuwa yakisafirisha abiria na vifurushi.
 
NIONAVYO.WANALAMBA SUMU YA PANYA.KAMA GLUCOSE EEE ILO..BASI.KUSAFIRISHA.VIFURUSHI.NI HASARA SANA MFANO.KUNA MAKAMPUNI YA USAFIRISHAJI.(MAFUSO) JANGAWANI PALE WANALIPISHA BOX LAKO.LABDA.,,2000 KUSHUSHA.,,1000. KUTOKA DAR.MPAKA KILIMANJARO MZIGO.WAKO UKIINGIA SAA 7 GARI.INAYOPAKIA.KAMA NI.SAA 7 IYOIYO ITAPAKIA.ASUBUI.UNAPOKEA.MZIGO.TOFAUTI.NA MABASI KUNGOJE NJIANI.WAO.WAKIAMBIWA.SHUSHA BOX LAKO.BREKI.MOSHI WAKIFIKA WANAKUULIZA OFIS.YAKO.ILIPO.KAMA HAPAFAI.FUSO.KUJA.WANA KUITA AU.TOA.AGIZO UACHWE.WAPI.OFISINI.KWAO.AU KWA.MIONGONI.MWA WATEJA.WAO
wanaongelea vifurushi vinavyopelekwa posta.. sio kila kifurushi boss..
Posta huwa wanasafirisha barua na vifurushi
 
Kwanini wasinunue magari madogo na malori mawii matatu kwa kuanzia.

Kununua mabasi ni kukosa mkakati bora.

Kila mkoa uwe na fleet ya magari ya kusafirisha mizigo na vifurushi pamoja na malori miwili matatu kulingana na mahitaji na biashara.

Fedha zingine ziboreshe depots zao kuziweka ziwe za kisasa.

Yaani sisi waafrika, hatubadiliki kabisa.
mwenyewe unaona umetoa PhD material na kudharau wengine 😁 😁
 
Watu watafanya biashara zao na hayo magari: magendo, ubinamu, na mashemeji!
"Mzigo wa bosi huu, na huyu si sekeletali wake? Hujipendi eh?

Useme hapana. Halafu viongozi wako wasimame nyuma yako.

Nyie ndio mna hela, madaraka halafu mnataka vitu vya bure, vipi kuhusu walalahoi.
 
Magari yake yatakua na namba SU hata kama yanafanya biashara.

Kwangu naona ni IDEA nzuri kuounguza gharama za kusafirisha vifurushi.View attachment 1194462
Mzee hilo ni suala la muda. Haitachukua muda utayaona njiani yamepaki, mara pancha, mara dereva ana nyumba ndogo, mara zimeishiwa kiwese, mara dereva anapiga kidebe. Mwisho wa siku utasikia sababu miiiingi na kufa kama kawaida yetu
 
Back
Top Bottom