Shirika la Posta laanza biashara ya mabasi mikoani

Shirika la Posta laanza biashara ya mabasi mikoani

Hili ni wazo zuri, japo POSTA wangejikita kubuni biashara ya kusafirisha vifurushi kuliko kuingilia biashara ya abiria.
Tusije tukaanza kusikia kampuni binafsi zinanyimwa leseni.
Hapo hamna kitu ndugu biashara ya usafirishaji kumilikiwa na umma huwa ni hasara tupu we subiri utaona.
 
Badala ya kubuni usasa ktk huduma za posta wahamia kupost watu,
Wameanza na Mtwara to masasi tata lao lenye rangi hiyohiyo kumbe imenoga sawa lkn naona lengo n kupunguza gharama ya ndege kwa vifurushi ili zipande mabas, lbda tufe tutayaona mengi
 
Badala ya kubuni usasa ktk huduma za posta wahamia kupost watu,
Wameanza na Mtwara to masasi tata lao lenye rangi hiyohiyo kumbe imenoga sawa lkn naona lengo n kupunguza gharama ya ndege kwa vifurushi ili zipande mabas, lbda tufe tutayaona mengi
 
Magari yake yatakua na namba SU hata kama yanafanya biashara.

Kwangu naona ni IDEA nzuri kuounguza gharama za kusafirisha vifurushi.View attachment 1194462

Haya siyo mabasi ya Shirika Posta LA Afrika Kusini kweli? Katika majiji mbalimbali nchini Afrika Kusini, nimewahi kushuhudia magari ya Shirika LA Posta LA Afrika Kusini PostNet) yakiwa yamepakwa rangi kama hii .Sina hakika kama Shirika la Posts LA Tz nalo limeiga rangi pamoja na design hii,
 
Sina hakika sana kama hiyo picha ni Tanzania kwa sababu zifuatazo.

1. Hayo mazingira yaliyopo hayo magari. (Inaonekana yako yard au indoor parking, kibongo ni ngumu).

2. Rangi ya hayo mabasi (Ni nadra sana kwa taasisi ya Umma hapa Tz kuwa na colour choice nyekundu).

3. Maandishi ya Kiingereza ubavuni mwa basi (Yaani washindwe hata kuandika hapa kazi tu! Wasiweke picha ya bendera ya Tz!)

4. Mantiki ya kuanzisha hiyo biashara (Haingii kabisa akilini)
Unafeli kwa dhahania mkuu
 
Yes... biashara ya barua huwezi kuboresha baada ya kuja social media na mabasi binafsi kubeba pesa, barua na vifurushi..
Wanajikwamua kibiashara.
Yes yanabeba abiria na vifurushi vya wateja wao...

Sikatai wana lengo jema lakini strategically kibiashara wako "wrong".

Wangenunua Vans zipo kubwa na ndogo halafu malori madogo yenye uwezo wa kubeba barua na vifurushi vya kanda moja kwenda kanda ingine.

Watumie pesa waliyo nayo kuboresha mifumo ya kutuma barua za kanda au zones, na kila zone inakuwa ya kisasa, kwa kuwepo depots na "sorting offices" za uhakika.

Pia wasogeze huduma hadi vitongojini kuitangaza huduma ya posta na kuwaelimisha watu matumizi ya posta na kubuni huduma mpya.

Huko wanaanzisha kitu chaitwa "retail business with post office" na hapo wanaongeza idadi wa watu wanaojiajri na kuajiriwa.

Kwa lugha ingine yaitwa "post office franchise".

Yaani mtu binafsi anaendesha na kutoa huduma za post na anaajrri watu wake na hapo anachanganya huduma za posta na shughuli zingine.

Wajifunze haya mambo yapo hata nchi jirani tu haina haja ya kwenda mbali.

Ila hakuna nchi yoyote duniani ambayo yatumia mabasi kusafirisha barua, vifurushi na abiria, hiyo ni "unnecessary monopization".

Biashara ya kusafirisha abiria mikoani, iachiwe wafanyao biashara hiyo.
 
hii kitu ilikuepo though haikua mkoa kwa mkoa,nilikua naona post bus lilikua linatoka mtwara kwenda masasi kila siku kwa siku za jtatu mpaka ijumaa,abiria walikua wanalipenda sana.Sina hakika kama posta mtwara wanaendelea
Kwa sasa Shirika La Posta wana Basi Moja dogo linalofanya safari zake Makambako to Songea Daily,ni TATA hivi wamefanikiwa ndio maaana imewapa MOYO wa kuendelea na biashara hii!
 
Haya mabasi watanufaika zaidi madereva na makonda tu tena mali umma
 
Safi sana, ila sijapenda rangi za hayo Mabasi lkn siyo ishu, vinginevyo big up Shirika letu!
kuna baadhi wanakushangaa hapo kwenye hayo maneno uliyotumia ''Shirika letu'' wanatamani wakumeze mana kufeli kwa kila jambo kwenye mashirika na tasisi za serikali kwao ni vigelegele
 
Magari yake yatakua na namba SU hata kama yanafanya biashara.

Kwangu naona ni IDEA nzuri kuounguza gharama za kusafirisha vifurushi.View attachment 1194462
Serikali hii inawaonea gere makampuni binafsi ya biashara na inatamani biashara zote zifanywe na serikali ila tu haina uwezo na imeshapigwa bao.
 
NIONAVYO.WANALAMBA SUMU YA PANYA.KAMA GLUCOSE EEE ILO..BASI.KUSAFIRISHA.VIFURUSHI.NI HASARA SANA MFANO.KUNA MAKAMPUNI YA USAFIRISHAJI.(MAFUSO) JANGAWANI PALE WANALIPISHA BOX LAKO.LABDA.,,2000 KUSHUSHA.,,1000. KUTOKA DAR.MPAKA KILIMANJARO MZIGO.WAKO UKIINGIA SAA 7 GARI.INAYOPAKIA.KAMA NI.SAA 7 IYOIYO ITAPAKIA.ASUBUI.UNAPOKEA.MZIGO.TOFAUTI.NA MABASI KUNGOJE NJIANI.WAO.WAKIAMBIWA.SHUSHA BOX LAKO.BREKI.MOSHI WAKIFIKA WANAKUULIZA OFIS.YAKO.ILIPO.KAMA HAPAFAI.FUSO.KUJA.WANA KUITA AU.TOA.AGIZO UACHWE.WAPI.OFISINI.KWAO.AU KWA.MIONGONI.MWA WATEJA.WAO
Rudi shule
 
Back
Top Bottom