Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka kadhaa nyuma yalikuwepo pia mabasi ya postaKuna makampuni ya binafsi ya magari yanaenda kuuliwa kama kwa fastjet, kila mahali serikali inapo gusa lazma iharibu....
Limekaa ka Basi LA SimbaYaani Mkuu Badala Ya Kuwaza Huduma Inaboreshwa Wewe Mwenyewe Umewaza Rangi?
Ulitaka Rangi Gani Sasa Ama Ulitaka Ile Ya Dhahabu [emoji2][emoji1][emoji28][emoji23][emoji16][emoji16]
Yanga eeee wwulitaka rangi iwe ya chama
hii biashara itawashinda kama tu mizigo wanateseka nayo upati kwa wakati mzigo ukifika tanzani toka nnchi zilizo endelea
wanaongelea vifurushi vinavyopelekwa posta.. sio kila kifurushi boss..NIONAVYO.WANALAMBA SUMU YA PANYA.KAMA GLUCOSE EEE ILO..BASI.KUSAFIRISHA.VIFURUSHI.NI HASARA SANA MFANO.KUNA MAKAMPUNI YA USAFIRISHAJI.(MAFUSO) JANGAWANI PALE WANALIPISHA BOX LAKO.LABDA.,,2000 KUSHUSHA.,,1000. KUTOKA DAR.MPAKA KILIMANJARO MZIGO.WAKO UKIINGIA SAA 7 GARI.INAYOPAKIA.KAMA NI.SAA 7 IYOIYO ITAPAKIA.ASUBUI.UNAPOKEA.MZIGO.TOFAUTI.NA MABASI KUNGOJE NJIANI.WAO.WAKIAMBIWA.SHUSHA BOX LAKO.BREKI.MOSHI WAKIFIKA WANAKUULIZA OFIS.YAKO.ILIPO.KAMA HAPAFAI.FUSO.KUJA.WANA KUITA AU.TOA.AGIZO UACHWE.WAPI.OFISINI.KWAO.AU KWA.MIONGONI.MWA WATEJA.WAO
woga ama chuki zako ama siasa zenu ndio shidaMagu anataka aue biashara binafsi
Sasa figisu kwa akina NEWFORCE na RUNGWE EXPRESS zitaanza hivi karibuni , yale yale ya FASTJET !Magari yake yatakua na namba SU hata kama yanafanya biashara.
Kwangu naona ni IDEA nzuri kuounguza gharama za kusafirisha vifurushi.View attachment 1194462
mwenyewe unaona umetoa PhD material na kudharau wengine 😁 😁Kwanini wasinunue magari madogo na malori mawii matatu kwa kuanzia.
Kununua mabasi ni kukosa mkakati bora.
Kila mkoa uwe na fleet ya magari ya kusafirisha mizigo na vifurushi pamoja na malori miwili matatu kulingana na mahitaji na biashara.
Fedha zingine ziboreshe depots zao kuziweka ziwe za kisasa.
Yaani sisi waafrika, hatubadiliki kabisa.
Watu watafanya biashara zao na hayo magari: magendo, ubinamu, na mashemeji!
"Mzigo wa bosi huu, na huyu si sekeletali wake? Hujipendi eh?
Na mimi naidai sirikali wakileta tu nakamata mawili mpaka nilipwe.Magari yake yatakua na namba SU hata kama yanafanya biashara.
Kwangu naona ni IDEA nzuri kuounguza gharama za kusafirisha vifurushi.View attachment 1194462
Mzee hilo ni suala la muda. Haitachukua muda utayaona njiani yamepaki, mara pancha, mara dereva ana nyumba ndogo, mara zimeishiwa kiwese, mara dereva anapiga kidebe. Mwisho wa siku utasikia sababu miiiingi na kufa kama kawaida yetuMagari yake yatakua na namba SU hata kama yanafanya biashara.
Kwangu naona ni IDEA nzuri kuounguza gharama za kusafirisha vifurushi.View attachment 1194462
Mbona yameandikwa POST Express badala ya Posta?
Ila mpiga picha kapiga kiwizi wizi