Shirika la Wanaume wanaopitia changamoto kwenye ndoa limesajiliwa kwa sheria gani? Video yao imenifanya niogope Ndoa

Shirika la Wanaume wanaopitia changamoto kwenye ndoa limesajiliwa kwa sheria gani? Video yao imenifanya niogope Ndoa

Baba angu kila nikienda home kumsalimia huwa haachi kuniambia, "mwanangu, kwenye maisha yako yote usimuweke mkeo kama sehemu ya maisha yako. Usiweke nae mipango yako mingi sanaa, fanya nae kwa kiasi tu". Anaendelea kisema, "siku hizi sheria zote ni za kumlinda mwanamke, kwa jambo lolote lile ukisimama mahakamani na mwanamke, atasikilizwa yeye kwanza, hadi uje usikilizwe wewe, umeshachakaa".

Ndugu zangu wote mnaosema hao wanaume ni ma zwazwa inawezekana hamjapitia changamoto za hawa wanawake. Hata kama hamjapitia ila kila mtu atakua amewahi kushuhudia mwanamke akimtunishia mwanaume, kama ile, "nipige, nipige sasa, nipige kama kweli wewe mwanaume" kwenye hali hii wanaume wengi huamua kuwaacha tu hawa wanawake bila kuwafanya chochote. Si kwamba hawana uwezo wa kuwapiga, la. Huwa wanaepusha shari.

Ukienda police kushitaki kuwa mkeo anakufanyia chochote kibaya hutasikilizwa, ila yy akienda hata kama akasema tu ulimtishia kumpiga, kimbembe unacho. Kuna msemo unasema "A men is guilty until is proved innocence and a woman is innocent until is proved guilty". Hao wanaume kwenye video ni wakuwaonea huruma tu na sio kuwacheka.
Niishie hapa
Mimi Kwa kweli wamenipa dhambi ya kuwacheka usiku huu🤣🤣🤣

Ila let's be honest, hivi huyo mwanamke umeishi nae vipi hadi anapata nguvu ya kunyanyua stuli akupige, ukute mume ndo ameanza kila siku vipigo anampiga mkewe, mwisho mke anachoka ananyanyua stuli.
Halafu wanaume Wasichojua ubabe na ukali hautunzi ndoa, mke ni sikio, mpe maneno matamu uone Kama atapata nguvu ya kunyanyua stuli🤣🤣🤣 udhaifu wa wanawake upo masikioni ( inabidi nianze kufunda na wanaume sasa Lamomy ), mwanamke hana tabia, tabia anaikuta kwa mumewe, sasa nyie mnataka mpige wake zenu msirudishiwe🤣🤣

Afu huyo mstaafu🤣🤣🤣 Nani asiyejua vibweka vya wastaafu...pension wanahongea, hawashikiki, ikiisha wanataka warudi kwa wake zao🤣🤣🤣
 
Hao ni beta males. Niliwahi zichapa na mkurya + mmasai nilivyokuwa O level.

Sitakagi ujinga kabisa 🤣🤣🤣. Acha hao mazezeta waendele kupigwa
 
Mimi Kwa kweli wamenipa dhambi ya kuwacheka usiku huu🤣🤣🤣

Ila let's be honest, hivi huyo mwanamke umeishi nae vipi hadi anapata nguvu ya kunyanyua stuli akupige, ukute mume ndo ameanza kila siku vipigo anampiga mkewe, mwisho mke anachoka ananyanyua stuli.
Halafu wanaume Wasichojua ubabe na ukali hautunzi ndoa, mke ni sikio, mpe maneno matamu uone Kama atapata nguvu ya kunyanyua stuli🤣🤣🤣 udhaifu wa wanawake upo masikioni ( inabidi nianze kufunda na wanaume sasa Lamomy ), mwanamke hana tabia, tabia anaikuta kwa mumewe, sasa nyie mnataka mpige wake zenu msirudishiwe🤣🤣

Afu huyo mstaafu🤣🤣🤣 Nani asiyejua vibweka vya wastaafu...pension wanahongea, hawashikiki, ikiisha wanataka warudi kwa wake zao🤣🤣🤣
Maajabu ya kichwa cha familia kugeuka mkia.
 
Habari wadau.

Kupitia Leo tena ya clouds FM imenifanya nilijue shirika la wanaume wanaopitia changamoto kwenye ndoa. Nikakutana na video ya maelezo ya wanachama wao.

Baada ya kuitazama hiyo video, nimecheka sana na kidogo Nimewaelewa wale wanaume wa humu jamiiforums wanaosema Kataa ndoa,

Tazama mwenyewe video niliyo upload

Stuka kaka hii ni michezo ya TISS kututoa mchezoni suala bandari. Vituko vitakuja vingi tu. Mara kuongeza makalio mara cjui nini upuuz mtupu.
 
Na hao ndio wa kutushauri Sisi tuoe ...labda tuoe mamba, kenge na mijusi inayokimbia mvu na kuingia mtoni.
We nawe unaamini hayo. Na pia mtu kupigwa na mkewe we yanakuhusu nini? Kifupi hao wanatafuta justification ya hiyo taasisi yao waliyoanzisha na ndio maana wameongea na kukuza hilo tatizo.

Kuhusu kupiga au kupigana kwenye ndoa ni wanandoa wasiojitambua malevi, mamalaya, mahuni na makahaba yaliyopitiliza ndio yanapigana japo umenisikitisha eti mtu mwingine kupigwa kwenye ndoa yake inakufanya wewe usitake kuoa. Hiyo kampeni yenu inajiokotezea sababu ili kuficha udhaifu wenu wa kiuchumi na kimwili. Nyie ni bado maskini mnajiokoteza na pia mnasema hamtaki kuoa ili mfanyaje? Muolewe nyie. Ebu jaribu kama Baba yako yupo hai, mueleze hutaki kuoa, uone reaction na majibu yake. Hata kama atajichekesha kwako ila moyoni mwake atakuwa na wasiwasi nawe. Huyu mwanangu anaweza kuwa "papai"
 
Stuka kaka hii ni michezo ya TISS kututoa mchezoni suala bandari. Vituko vitakuja vingi tu. Mara kuongeza makalio mara cjui nini upuuz mtupu.

Unataka kusema hao wanaume sio wakweli ?

Je hakuna wanaume kwenye ndoa wanaopitia hizo changamoto walizozisema
 
20231024_131038.jpg
 
Nimecheka sana....Ila wanaume wa siku hizi mnadeka sana, mmepoteza Ile masculinity......Yani kupigwa na kijistuli na hivo vijikovu ndo habari ya kutangazia dunia nzima?!!!! 🤣🤣🤣 Mwanaume unapata wapi ubavu wa kutangazia ulimwengu umepigwa na mkeo? Au umenyimwa unyumba?

Mke akikupiga na wewe mvizie mpige na helaa, muongeze na viboko vya magic stick🤣🤣🤣🤣 hili nalo tuwafundishe🤣🤣🤣

Anyway siku hizi watu wanasaka fursa kila mahali, hao kwenye video ukiwaangalia Kwa jicho la ndani ni wasakatonge tu🤣🤣🤣
Hao umeme mdogo kichwani, sura zao zinaonyesha wanywaji wa visungura 🤣🤣😂
 
Wazeee Wanachezea kichapo Hadi wanachiwa na makovu aiseé [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..
 
Back
Top Bottom