Roca fella
JF-Expert Member
- May 13, 2023
- 2,077
- 4,152
Ndio maana nimempa big......kuleta madini mpaka huku.....au hujaelewa maana ya big up cotterpin???Kuna sheria kavunja?π€
Mwakani nitakuja na program ya kusaidia Vijana wote Kataa Ndoa wanaoa.Dah hayo mambo ya 50/50 labda huko daslam π.
Na kingine mi kataa ndoa.
Utalia kama suti bega wa sinza π€£π€£π€£πHii thread imeandiliwa kwa dhana ya ubaguzi,
siku zote unafanya kinacho wezekana katika maisha yako
usiangalie huyu au yule Aishi vipi
kama kipato chako kinaruhusu kwanini usitoe fedha kuhudumia
kutoa ni moyo na sadaka ukitoa utapata kwa zaidi, kila mmoja na anavyo amini
Tatizo limeanzia hapo, hebu nipe mana yake mkuuNdio maana nimempa big......kuleta madini mpaka huku.....au hujaelewa maana ya big up cotterpin???
Hizo dharau, una taka utulipie ili iwejeπ€£π€£.Mwakani nitakuja na program ya kusaidia Vijana wote Kataa Ndoa wanaoa.
Nitawasaidia kuwalipia mahari na Posa π
Nawe jiandaeπ€
Kiongozi nawa fahamu vijana wanguπ€π π
Babu anahisi kataa ndoa hatuna maisha ππHizo dharau, una takautulipie ili iwejeπ€£π€£.
SI ndo mwanzoni wa kukaziwa huuπ.
Kataa ndoa Linda uchumi wako
Uko sahihi kabisa, kataa mahusiano uchwaraaKataa ombaomba wanaojificha kwenye kichaka cha mapenzi
Kusema ukweli niki taka kuoa, hata saa hizi naweza ππ€.Babu anahisi kataa ndoa hatuna maisha ππ
Mwanadamu kaumbiwa changamoto, sio kukimbia tatizo bali kutatua,Utalia kama suti bega wa sinza π€£π€£π€£π
Rasmi naku patia kadi ya kataa ndoa, wewe ni mwanachama halisiKaficha from za usajili mpya huyo. Anahujumu chama
pamoja Sana mjumbe, kataa mahusiano ya kimbuziAsante kiongozi umeona mbali mkuu unakuta mtu hana boksa alaf anamnunulia chupi demu ujinga mwingi@Intelligent businessman
Upo sawa ila suti bega analia.....kasomesha afu baada ya ndoa mambo yamegeukaMwanadamu kaumbiwa changamoto, sio kukimbia tatizo bali kutatua,
fanya chenye uwezo wako bila kujilinganisha na mwingine
it's simple and clear
π€£π€£π€£π€£π€£π€£Upo sawa ila suti bega analia.....kasomesha afu baada ya ndoa mambo yamegeuka
Demu yeyote yule duniani lazima ucheze na akili yake hata uwe bilionea vipi muulize bill gates na kina warren buffet kuhusu wake zao πππππ€£π€£π€£π€£Upo sawa ila suti bega analia.....kasomesha afu baada ya ndoa mambo yamegeuka
Umetaja mke.hapa tunajadili hawa mademu tunaowalisha samaki samaki na outfit za maana wakati ni "mademu" wasio na potential ya kuwa mkeDemu yeyote yule duniani lazima ucheze na akili yake hata uwe bilionea vipi muulize bill gates na kina warren buffet kuhusu wake zao πππππ€£π€£π€£π€£